Dodoma FM

Recent posts

3 May 2023, 5:11 pm

Wananchi kibaigwa wafunguka kero wanazo pata katika huduma za jamii

Shilingi  milioni 150 imetengwa kwaajili ya kuongeza vifaa tiba ambapo kabla ya kufika mwezi wa Saba mwaka huu kituo cha afya kibaigwa kitaanza kutoa huduma za upasuaji. NA, Bernadetha Mwakilabi. Wakazi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kibaigwa ulioko wilayani…

3 May 2023, 4:39 pm

Vijana waonywa kuporomoka kwa Maadili

Wamewashauri wazazi kukagua matumizi ya vipindi vya Televisheni majumbani mwao ili kuwaepusha watoto na vipindi viovu vinavyoweza kuharibu maadili yao. Na Bernad Magawa. Katika kuhakikisha kuwa Taifa linaendelea kuwa na vijana wenye maadili, baadhi ya wazee Wilayani Bahi wameiomba serikali…

3 May 2023, 1:59 pm

Wananchi Ng’ambi watakiwa kutunza mazingira

Amesema mazingira yakitunzwa vema yanaweza kutengeneza fursa mbalimbali kwa wananchi. Na Fred Cheti. Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Mhe. Sophia Kizigo amewataka wananchi wa kijiji cha Ng’hambi wilaya humo kuwa mabalozi wa utunzaji wa mazingira illi kutengeneza fursa nyingi za…

3 May 2023, 1:25 pm

Ukosefu wa elimu ya Afya ya uzazi kwa vijana wachangia ukatili

Ameeleza nini kifanyike ili kusaidia kundi hilo la vijana kupata elimu hiyo. Na Alfred Bulahya Imeelezwa kuwa kukosa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana ni miongoni mwa sababu inazosababisha kuendelea kwa vitendo vya ukatili ndani ya jamii. Hayo yameelezwa…

2 May 2023, 3:49 pm

Wakazi wa Msalato waomba mazingira ya mnada kuboreshwa

Mnada wa nyama msalato ni miongoni ma maeneo maarufu ya asili ambapo wananchi hufika kwa ajili ya kujipatia nyama choma . Na Thadei Tesha. Wakazi wa Msalato Jijini Dodoma wameiomba serikali  kuboresha mazingira ya  eneo la mnada wa msalato ambao…

2 May 2023, 3:06 pm

DUWASA kutatua changamoto ya maji Nala

Mkoa wa Dodoma, umekuwa na Uendelezaji wa vyanzo vya maji (uchimbaji wa visima na ujenzi wa mabwawa) kwa kutumia vyanzo vikuu kama vile Uchimbaji wa visima virefu 34. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma imesema…

2 May 2023, 1:43 pm

Je Usonji ni nini

Je usonji ni nini na husababishwa na nini. Na Yussuph Hassan. Usonji ni tatizo linalojitokeza mapema utotoni, ambapo mtoto huwa na mapungufu kwa kupenda kujitenga na kutotaka kuwa karibu na watu. Usonji ni ugonjwa unaonekana kwa watoto kuanzia mwaka mmoja…

2 May 2023, 1:23 pm

Wafanyabiashara watakiwa kutunza mazingira

Mifuko ya plastiki ilipigwa marufuku kutumika hapa chini hii ni kutokana na wataalamu mbalimbali wa maingira kubainisha kuwa matumizi ya mifuko hiyo huongoza katika suala la uchafuzi wa mazingira. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kutunza mazingira kwa…

2 May 2023, 12:21 pm

Wanachama wa WAUVI waanza uzalishaji wa bidhaa

Mafunzo hayo yamekuwa yakiratibiwa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo sido mkoa wa Dodoma. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa asilimia 80 ya wanachama wa Taasisi ya wanawake na Uchumi wa Viwanda wilaya ya Dodoma Mjini WAUVI wameanza kufanya uzalishaji wa…

1 May 2023, 4:53 pm

Wakulima wa Alizeti walalamika uzalishaji hafifu

Katika mwaka 2019/2020 uzalishaji wa alizeti nchini umefikia tani 649,437 ikilinganishwa na tani 561,297 kwa mwaka 2018/2019. Na Mindi Joseph. Wakati Mkoa wa Dodoma ukitegemewa zaidi katika uzalishaji wa mafuta ya alizeti wakulima wamesema mwaka huu uzalishaji wao ni hafifu.…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger