Dodoma FM
Dodoma FM
10 May 2023, 6:17 pm
Gharama za mradi wa Usanifu na Ujenzi WA UBORESHAJI HUDUMA YA UONDOSHAJI NA KUTIBU MAJITAKA unategemea kugharimu Dola za Marekani milioni (70) sawa na Shilingi za Tanzania bilioni 164.85. Na Selemani Kodima. Katika kukabiliana na ufanisi mdogo wa miundombinu ya…
9 May 2023, 4:51 pm
Mkoa wa Dodoma ulijiwekea malengo ya kulima hekta 7 za chakula lakini mvua hazikunyesha kama ilivyotarajiwa hivyo kuathiri upatikanaji wa chakula kama ilivyotarajiwa kuilazimu Serikali kutoa mahindi ya bei nafuu jumla ya tani 12,747.15. Na Mindi Joseph. Uvunaji Hafifu wa…
9 May 2023, 4:26 pm
Miradi mingi ya maji inayo onekana kusua sua inakwamisha utekelezaji wa ilani ya chama Cha mapinduzi suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho. Na Benadetha Mwakilabi. Wilaya ya Kongwa imeahidi kufatiliana kufanyia kazi miradi yote ya maji inayotekelezwa wilayani humo ili kuondoa…
9 May 2023, 3:11 pm
Mnamo tarehe Moja Mei mwaka huu baraza hilo la Taifa la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira (NEMC) lilitangaza kuanza opresheni ya kukamata na kufungia maeneo ya kumbi za strehe,nyumba za ibada pamoja na maeneo mengine yanayosababisha mitetemo na kelele kinyume…
9 May 2023, 2:07 pm
Mtaji wa kutosha kwaajili ya kuendesha kiwanda hicho unatajwa kuwa changamoto kwa vijana hao. Na Bernad Magawa Ili kupunguza tatizo la kukosekana kwa ajira za kutosheleza vijana wote wenye sifa za kuajiriwa hapa nchini, mafundi Seremala wilayani Bahi wamewaasa vijana…
8 May 2023, 4:54 pm
kwa sasa wastani wa bei ya kabichi ni kuanzia shilingi 1500 hadi 2000 huku wachache wakiuza kwa bei kati ya shilingi 1000 hadi 1500 kwa kabichi moja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa Mboga mboga aina ya kabichi Jijini…
8 May 2023, 4:27 pm
Mradi wa Visima vya Maji Nzuguni utaandika historia kwa wananchi kutokana na eneo hilo Tangu uhuru halijawahi kuwa na chanzo cha maji safi na salama. Na Mindi Joseph. Diwani wa kata ya Nzuguni Aloyce Luhega ameomba kushughulikiwa changamoto ya Migogoro…
8 May 2023, 3:53 pm
Mradi wa Maji mtera unategemewa kuongeza maji na kufika jumla ya lita milioni 201 ambazo zitaweza kutumika kwa miaka 13 ijayo jijini Dodoma. Na Seleman Kodima. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira pamoja na wataalamu kutoka wizara…
8 May 2023, 2:59 pm
Je ni dalili zipi hizo ambazo ni hatari kwa mama mjamzito? Na Yussuph Hassan. Leo tunazugumzia dalili hatari kwa Mama mjamzito ambapo Dkt Abdallah Majaliwa kutoka hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma anaeleza kuhusu dalili hizo.
8 May 2023, 1:51 pm
Wakazi wa kijiji cha Bahi sokoni wameeleza kupokea mradi huo kwa furaha na kuiomba serikali kuendelea kupeleka miradi ya maendeleo katika kijiji hicho. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi wamejitokeza kwa wingi kuchimba msingi wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-