Dodoma FM

Recent posts

12 May 2023, 12:42 pm

Mndolwa azitaka kampuni zilizoshinda zabuni kufanya upembuzi yakinifu

Hata hivyo Mdolwa amesema lengo la kukutana na wakurugenzi wa kampuni hizo ni kujenga uelewa wa pamoja kurahisisha utendaji na kupata matokeo chanya. Na Mindi Joseph. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Raymond Mndolwa amezitaka kampuni zilizoshinda zabuni…

11 May 2023, 5:50 pm

Serikali kushirikiana na sekta binafsi kuendeleza sekta ya kilimo

Feed the Future inasaidia Nchi katika kuendeleza sekta za kilimo ili kuchochea ukuaji wa uchumi na biashara ambayo huongeza mapato na kupunguza njaa umaskini na utapiamlo. Na Mindi Joseph. Serikali kwa Kushirikiana na Sekta Binafsi imejipanga kuendeleza sekta ya kilimo…

11 May 2023, 11:12 am

UVCCM Bahi yahimiza wananchi kuendelea kushiriki miradi ya maendeleo

Katibu wa Jumuiya hiyo wilaya ya Bahi Fatuma sanda amesema miradi mikubwa iliyopelekwa wilayani humo ni fahari ya wananchi . Na Bernad Magawa. Jumuiya ya Vijana wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Bahi imetoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika…

10 May 2023, 7:24 pm

Wakazi wa Nagulo waiomba Serikali kuwapatia huduma ya umeme

Hivi karibu Serikali kupitia wizara ya Nishati wanakusudia  kuongeza mafungu katika Mfuko wa Nishati Vijijini ili kuongeza kasi ya kufikisha umeme katika vitongoji 36,336 . Na Victor Chigwada. Inaelezwa kuwa nishati ya umeme ni muhimu kwa maendeleo ya jamii ikiwamo…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger