Dodoma FM

Recent posts

16 May 2023, 8:16 pm

Program ya AFDP yategemewa kuwafikia wakulima zaidi ya laki mbili nchini

Watazania wamehimizwa kuendelea kujikita katika katika shughuli za kilimo kwa uwekezaji wa uhakika . Na Mindi Joseph. Imeelezwa  kuwa, Programu ya kuendeleza Kilimo na Uvuvi AFDP unataegemea kufikia kaya zaidi ya Laki mbili Nchini. Hayo yamebainishwa na mtaalam wa masuala…

16 May 2023, 6:00 pm

TMDA yakabidhi dawa na vifaa tiba kwa mkuu wa Gereza la Msalato

Vifaa tiba na Dawa zilizokabidhiwa leo na TMDA vimetokana na  kaguzi zilizofanywa na Mamlaka hiyo na kuondosha katika soko la dawa  ambayo vinafaa kwa matumizi lakini kwa mujibu wa sheria ya dawa na vifaa tiba ,dawa havikupaswa kuuzwa ama kutumika…

16 May 2023, 10:56 am

Serikali yazindua kampeni ya kulinda maadili

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amepongeza juhudi za Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wanawake na Makundi Maalum kwa juhudi za kutoa za Elimuu juu ya umuhimu wa Familia na Upendo katika Jamii zetu. Na Mariam Matundu. Katika kuadhimisha…

15 May 2023, 8:10 pm

Wananchi wahimizwa kuendelea kuchangia damu

Uchangiaji wa Damu bado unatajwa kuwa muhimu katika kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji. Na Mindi Joseph. Mwitikio wa Wanafunzi,Taasisi na wadau mbalimbali kuchangia Damu umetajwa kuondoa uhaba wa damu  na kuvuka malengo ya uchangiaji katika kitengo cha Damu salama…

15 May 2023, 7:49 pm

Wananchi waendelea kuhimizwa kutumia nishati mbadala

Miongoni mwa madhara hayo ni pamoja na ukame, mafuriko, vimbunga, mioto ya misitu vimeharibu maisha ya mamilioni ya watu na kuwaweka katika hatari zaidi ya kukabiliwa na njaa. Na Alfred Bulahya. Wakati mataifa yote ulimwenguni yakipambana kuzuia ongozeko la joto…

12 May 2023, 3:40 pm

Wakazi wa Manda watakiwa kushirikiana na walimu

Maila Sekondari kwa mwaka 2022/2023 ilishika nafasi ya tatu kwa ngazi ya Wilaya matokeo ya kidato cha nne na nfasi ya pili kwa matokeo ya kidato cha pili. Na Victor Chigwada. Afisa elimu wa Kata ya Manda Bw.Christopher Mataya  ametoa…

12 May 2023, 3:19 pm

Wakazi wa Ilangali waiomba serikali kuboresha machimbo ya Madini

Wananchi hao wameiomba Serikali  kuyatazama machimbo hayo kwa jicho la tofauti ili yaweze kuwa msaada mkubwa wa kutatua changamoto mbalimbali za kijiji hicho. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Ilangali Kata ya Manda wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kuboresha machimbo…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger