Dodoma FM
Dodoma FM
29 May 2023, 8:09 pm
Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ameahidi kupeleka huduma ya maji safi katika kijiji cha Bahi Makulu ili kuwaondolea adha wananchi kutokana na kutokuwepo kwa huduma hiyo kijijini hapo. Nollo ameyasema hayo Mei 28, 2023…
29 May 2023, 7:39 pm
Na Bernadetha Mwakilabi. Wananchi wa kitongoji cha Kawawa kilichopo katika mamlaka ya mji mdogo Kibaigwa wilayani Kongwa wameridhia kuhama ili kupisha eneo la chanzo cha maji lililopo kitongojini hapo lenye ukubwa wa hekari 28. Hayo yamejiri mapema katika ziara yake…
25 May 2023, 7:41 pm
Katika eneo hili mazao mbalimbali yanazalishwa ikiwemo matunda kama vile embe papai na chungwa pamoja na mazao mengine kama migomba na mihogo. Na Thadei Tesha. Vijana jijini Dodoma wameshauriwa kujiingiza katika shughuli za kilimo kwani zikifanywa kiukamilifu zinaweza kuleta fursa…
25 May 2023, 7:10 pm
Ameiomba serikali kutumia nguvu kubwa ya kulinda sekta ya uchukuzi Ili iendelee kuajiri madereva. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wamiliki wa malori nchini kuhakikisha madereva wao wanapewa elimu kwa ufasaha Ili waweze kujilinda na wasipate madhara wakati wa usafirishaji…
25 May 2023, 4:37 pm
Amewaagiza watendaji wa SUMA JKT kuhakikisha wanasimamia mitambo hiyo ili ilete tija iliyokusudiwa katika kuongeza ufanisi wa SUMA JKT. Na Alfred Bulahya. Jeshi la Kujenga Taifa kupitia SUMMA JKT, limezindua rasmi mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege yenye thamani…
24 May 2023, 7:49 pm
Pamoja na sababu hizo wafayabiahara hao wanasema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ikiwa ni pamoja na kuruhusu mabasi kuingia ndani ya kituo hicho ili waweze kupata wateja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika kituo cha mabasi cha…
24 May 2023, 7:17 pm
Jukumu kubwa la taasisi ya uboreshaji wa mifumo na masoko ya kilimo AMDT ni kuwezesha na kuboresha mabadiliko makubwa ya kimkakati kwenye mifumo ya masoko ya sekta za kilimo. Na Mindi Joseph. Vijana na wanawake wametakiwa kubadili mitazamo na kushirikiana…
24 May 2023, 6:56 pm
Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kupata huduma kutoka kwa madaktari hao. Na Fred Cheti. Timu ya madaktari bingwa kutoka sehemu mbalimbli nchini inatarajia kuweka kambi ya siku mbili katika vituo vya afya vya Makole na Mkonze kwa ajili ya…
24 May 2023, 6:05 pm
Peter ametoa wito kwa vijana kupambana bila kuchagua kazi ilimradi iwe halali na isiyo na madhara kiafya. Na Bernad Magawa . Vijana wasomi wilayani Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuacha kuchagua kazi za kufanya badala yake wajikite katika kutengeneza ajira binafsi…
23 May 2023, 6:30 pm
Miundombinu ya soko hilo inaelezwa kuwa mibovu na kusababisha wafanyabiashara kushindwa kufanya biashara ndani ya eneo hili. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi wa kata ya Chaduru jijini Dodoma wameiomba serikali kukamilisha kwa haraka miundombinu ya soko la Tambukareli ili…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-