Dodoma FM

Recent posts

21 June 2023, 3:47 pm

Wakulima wa alizeti Bahi walalamika kuporomoka kwa bei

Wakulima hao wanasema wanalazimika kuuza alizeti kwa bei ndogo ili waweze kupata fedha za kujikimu . Na Bernad Magawa. Wakulima wa zao la alizeti wilayani Bahi wamelalamikia kuporomoka kwa bei ya zao hilo ambalo limejipatia umaarufu hivi karibuni na kuwa…

21 June 2023, 3:16 pm

Chongolo: Watoto wasimamiwe waende shule

Chongolo amesema wakati watoto wanapokuwa mashuleni sio wakati wa viongozi kukaa ofisini badala yake wajipange na kuratibu kuhakikisha watoto wote wanajiunga na masomo na si vinginevyo. Na Bernadetha Mwakilabi. Katibu mkuu wa Chama Chama Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo amewataka…

16 June 2023, 2:53 pm

Uboreshaji miundombinu Bahi wawakomboa mama lishe

Uwepo wa miradi mingi ya ujenzi wa miundombinu ya elimu na afya wilayani Bahi  umeongeza fursa ya vijana na akina mama ambao baadhi yao wameshiriki moja kwa moja katika kazi za ujenzi, na  wengine kuuza vifaa vya ujenzi katika miradi…

16 June 2023, 2:28 pm

Vijana Kikuyu waipongeza serikali kuwasogezea huduma, elimu ya Afya

Katika kata ya Kikuyu Kaskazini watu 103 wamepata elimu na kupima masuala ya lishe ambapo asilimia 12.6% walibainika na utapiamlo, watu 80 wakipata elimu juu ya Magonjwa yasiyo ya kuambukiza na Bonanza hilo linatarajiwa kuhitimishwa siku ya kesho Jumamosi Makulu.…

16 June 2023, 1:54 pm

Vijana Kongwa wapokea bonanza la afya

Afisa lishe wilaya Kongwa Bi. Maria Haule amesema vijana lika balehe wakike wanatakiwa kujenga utaratibu wa kula vyakula vinavyoongeza damu ili kusaidia kurudisha damu inayopotea wakati wa hedhi. Na Bernadetha Mwakilabi. Wilaya ya Kongwa imepongeza na kushukuru wizara ya afya…

16 June 2023, 1:28 pm

Siku ya mtoto Afrika huadhimishwa kuangalia maslahi mapana ya watoto

Siku ya mtoto wa Afrika inaadhimishwa kwa lengo la kuangalia maslahi mapana ya watoto wa Afrika na huwapasa watu wazima kujitolea kwa hali na mali ili kushughulikia changamoto zinazokabili watoto katika bara zima la Afrika pamoja na kulindwa dhidi ya…

16 June 2023, 12:43 pm

Vijana Bahi wapigwa marufuku kucheza pool table muda wa kazi

Yeyote atakayekutwa anacheza pool table muda wa kazi hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake na atachukuliwa kama mzurulaji na atashtakiwa kisheria. Na Bernad Magawa. Jeshi la polisi wilayani Bahi limepiga marufuku vijana kucheza pool table muda wa kazi na kusema…

14 June 2023, 6:00 pm

Vituo vya afya vyatakiwa kununua majokofu ya kuhifadhia mazao ya damu

Tanzania leo imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha siku ya Wachangia Damu Duniani ambayo inalenga kuongeza ufahamu na kuwashukuru wafadhili wa damu wa hiari, wasiolipwa kwa zawadi zao za kuokoa maisha. Na Mindi Joseph. Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu…

14 June 2023, 4:53 pm

Dodoma: Wafanyabiashara watakiwa kujiunga UBIMIDO

Umoja wa wafanyabiashara waendao mnadani umekuwa na umuhimu mkubwa hususani katika suala la kuwasaidia wafanyabiashara katika kusaidiana kwenye masuala mbalimbali. Na Thadei Tesha Wafanyabiashara jijini Dodoma wametakiwa kujiunga katika umoja wa wafanyabiashara UBIMIDO ili waweze kupata fursa za kujikwamua kiuchumi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger