Dodoma FM
Dodoma FM
31 July 2023, 4:24 pm
Sera ya afya ya mwaka 2007 inataka huduma za afya kwa wazee, wajawazito na watoto chini ya umri miaka mitano kupata huduma bure bila malipo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha mlimwa kata ya Membe wameiomba serikali kuboresha huduma…
28 July 2023, 5:07 pm
Je bwawa hili linawanufaisha vipi wakazi wa Hombolo hususani katika shughuli mbalimbali kama kilimo na uvuvi? Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo limekuwa likitumika na wakazi wa eneo hilo kwa ajili ya uvuvi wa samaki aina ya perege na wengine…
28 July 2023, 4:48 pm
Mradi wa Nzuguni unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji kutoka wastani wa lita mlioni 68.7 mpaka milioni 76.3 kwa siku sawa na ongezeko la 11.4% ya uzalishaji wa sasa, na litapunguza mahitaji kwa 11.7% ya mahitaji ya sasa ya lita 133.4…
28 July 2023, 4:21 pm
Mnamo Tarehe 23 Februari, 2023 serikali kupitia Wizara ya Kilimo ilitangaza awamu ya kwanza ya majina 812 ya vijana waliochaguliwa kujiunga katika programu ya Building Better Tomorrow: Youth Initiative in Agribusiness (BBT-YIA). Serikali kupitia programu hii itawawezesha vijana kushiriki kilimo…
28 July 2023, 3:50 pm
Wananchi katika vijiji vingi vya jirani walikimbia makazi yao na kuhamia vijiji vingine wakati wa ujenzi wa bwawa hilo, ikiwa ni pamoja na Zepisa. Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo lilijengwa ili kuunda bwawa lililopo katika kijiji cha Hombolo Bwawani. Bwawa hilo lilijengwa na serikali ya kikoloni…
28 July 2023, 2:41 pm
Pia amesema wana jukumu la kuishauri wizara kujua ni namna gani Wakala wa Vipimo iboreshe utendaji kazi wake. Na Seleman Kodima. Waziri wa Viwanda na Bashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji amewataka wajumbe wapya wa bodi ya sita ya ushauri ya…
28 July 2023, 2:13 pm
Kupitia mradi huo wananchi wametakiwa kuanzisha miradi midogomidogo itakayowasaidia kujikwamua kimaisha. Na. Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi Billion 12 zinatarajiwa kutekeleza miradi ya barabara wilayani Bahi mwaka huu ili kuboresha miundombinu ya usafiri na kuharakisha maendeleo ya wananchi wa Bahi.…
28 July 2023, 1:11 pm
Ama kweli penye nia pana njia haijalishi ni kianganzi ama masika lakini zoezi la upandaji miti limeendelea kufanyika. Na Mindi Joseph. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jabiri Shekimweri amewaomba wadau wa mazingira kuanza kuandaa vitalu vya upandaji miti kwa msimu…
26 July 2023, 5:55 pm
Je wakazi wa eneo hili bado wanadumisha mila na desturi. Na Yussuph Hassan. Bado tupo wilayani Bahi kuitazama historia ya wilaya hii na leo tutafahamu kuhusu wenyeji wa eneo hili ni kabila gani hasa.
26 July 2023, 5:42 pm
Kartika kupunguza changamoto ya ajira na ugumu wa maisha kwa vijana nchini serikali imeendelea kusisitiza juu ya suala la kilimo biashara kwa kuanzisha programu mbalimbali kwa lengo la kuwawwezesha kujikwamua kiuchumi ikiwa ni katika kuanzisha mashamba ya kilimo pamoja na…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-