Dodoma FM
Dodoma FM
23 April 2021, 2:58 pm
Na; Ikulu Mawasiliano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania. Dkt. Swai anashika wadhifa huo kwa kipindi cha pili baada ya kipindi…
23 April 2021, 10:42 am
Na; SALIM KIMBESI. Wafanyabiashara wa mafuta ya kupikia katika soko la Majengo jijini Dodoma wamesema kuwa uhaba wa zao la alizeti ndio umechangia bei ya bidhaa hiyo kupanda. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wafanyabiashara hao wamesema kuwa, upatakanaji wa…
23 April 2021, 10:24 am
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa azma ya rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu ya kukutana na viongozi wa vyama vya siasa Nchini itasaidia kuleta maelewano baina ya serikali na vyama vingine vya siasa. Akizungumza na Taswira ya…
23 April 2021, 9:14 am
Na; Yussuph Hans Serikali imesema imelipa mafao mbalimbali kwa Wanachama waliokidhi vigezo ambapo katika kipindi cha Julai Mwaka 2020 mpaka Mwezi Machi Mwaka huu, imewalipa jumla ya Watumishi 93,661 Mafao yenye thamani ya Tsh Bilioni Mia Tatu Sabini na Saba…
22 April 2021, 3:46 pm
Na; Mariam Kasawa. Rais Samia ameliambia Bunge kuwa anapanga kukutana na viongozi wa kisiasa ili kwa pamoja waweke msimamo wa kuendesha shughuli za kisiasa. Rais Samia amesema hayo wakati akitaja namna anavyopanga kuboresha mazingira ya uhuru na demokrasia nchini Tanzania.…
22 April 2021, 12:19 pm
Na ; Mariam Kasawa Wazazi jijini Dodoma wametoa wito kwa Serikali na taasisi za elimu nchini kutilia mkazo ufundishwaji wa masomo ya stadi za kazi na maisha ili kuwafanya wanafunzi kuwa na haiba nzuri pamoja uwezo wa kufanya kazi pindi…
22 April 2021, 11:25 am
Na; Benard Filbert Kufuatia kukamilika kwa marekebisho ya mradi wa maji katika Kata ya Mlowa Bwawani Wilayani Chamwino, uongozi wa Kata umejipanga kufikisha huduma hiyo kwenye maeneo ambayo hayajafikiwa. Hayo yanajiri kufuati miezi kadhaa iliyopita mradi huo kushindwa kufanya kazi…
22 April 2021, 10:56 am
Na; Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa huduma ya umeme katika Kijiji cha Chidilo Kata ya Mpalanga Wilayani Bahi kumechangia kwa kiasi kikubwa kakosekana kwa huduma nyingine zinazotegemea nishati hiyo. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wakati…
22 April 2021, 10:23 am
Na; Mindi Joseph. Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itaendelea kuboresha mawasiliano bora na salama kwa watumiaji kufuatia idadi ya watumiaji wa mtandao kufika milioni 27.9 Desemba 2020 mwaka ulio pita. Akizungumza wakati wa kufunga shindano la pili la masuala…
22 April 2021, 8:39 am
Na; Mariam Kasawa Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani. Hii itakuwa ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo tangu aapishwe kuwa Rais Machi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-