Dodoma FM

Recent posts

27 April 2021, 6:22 am

Nagulo Bahi Zahanati bado kizungumkuti

Na; Seleman Kodima. wakazi wa Nagulo Bahi wamelalamikia kukosa huduma ya Afya kijijini hapo hali inayopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta huduma ya Afya. Wananchi hao wameelezea jinsi walivyo jitahidi kufanya juhudi ili wapate kituo cha Afya kijijini hapo lakini…

27 April 2021, 6:10 am

Tanzania yaadhimisha miaka 57 ya muungano

Na,Mariam Matundu. Ikiwa Tanzania imeadhimisha miaka 57 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ,imeelezwa kuwa changamoto 15 kati ya 25 za muungano zimetatuliwa . Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango wakati akifungua kongamano la maadhimisho ya miaka…

26 April 2021, 7:03 am

Uongozi wa kata ya Mnadani waahidi kutatua kero ya barabara

Na; Alfred Bulahya Wananchi wa kata ya Mnadani jijini Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano pamoja na kuwa wavumilivu, wakati uongozi wa kata hiyo ukifanya jitihada za kutatua kero ya ubovu wa miuno mbinu ya barabara za mtaa ili kusaidia kufanikisha zoezi…

26 April 2021, 6:28 am

Wakazi Handali walalamikia kukosa mtendaji

Na, Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Handali Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma wametoa malalamiko yao ya kutokuwa na mtendaji hali inayochangia kurudisha nyuma maendeleo yao. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa kukosekana kwa mtendaji…

23 April 2021, 2:58 pm

Rais Samia Suluhu afanya uteuzi mwingine

Na; Ikulu Mawasiliano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania. Dkt. Swai anashika wadhifa huo kwa kipindi cha pili baada ya kipindi…

23 April 2021, 10:42 am

Uhaba wa Alizeti wachangia mafuta ya kula kupanda bei

Na; SALIM KIMBESI. Wafanyabiashara wa mafuta ya kupikia katika soko la Majengo jijini Dodoma wamesema kuwa uhaba wa zao la alizeti ndio umechangia bei ya bidhaa hiyo  kupanda. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wafanyabiashara hao wamesema kuwa, upatakanaji wa…

23 April 2021, 9:14 am

Serikali yakiri hakuna malimbikizi ya malipo ya Pensheni kwa wastaafu

Na; Yussuph Hans Serikali imesema imelipa mafao mbalimbali kwa Wanachama waliokidhi vigezo ambapo katika kipindi cha Julai Mwaka 2020 mpaka Mwezi Machi Mwaka huu, imewalipa jumla ya Watumishi 93,661 Mafao yenye thamani ya Tsh Bilioni Mia Tatu Sabini na Saba…

22 April 2021, 3:46 pm

Rais Samia akusudia kukutana na viongozi wa kisiasa

Na; Mariam Kasawa. Rais Samia ameliambia Bunge kuwa anapanga kukutana na viongozi wa kisiasa ili kwa pamoja waweke msimamo wa kuendesha shughuli za kisiasa. Rais Samia amesema hayo wakati akitaja namna anavyopanga kuboresha mazingira ya uhuru na demokrasia nchini Tanzania.…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger