Dodoma FM
Dodoma FM
29 April 2021, 1:15 pm
Na;Yussuph Hans Serikali imesema inaendelea kujipanga kuhakikisha inaondoa adha ya mgao wa Maji kwa Wananchi katika maeneo mbalimbali hapa Nchini. Hayo yamebainishwa leo Bungeni na Naibu Waziri wa Maji Mh MarryPrisca Mahundi wakati akijibu swali la Mbunge wa Ndanda Mh…
29 April 2021, 6:52 am
Na; shani Nicolaus Wito umetolewa kwa wakulima kuwa na desturi ya kutoa taarifa kwa maafisa ugani kuhusiana na maendeleo ya mazao pamoja na aina ya viuatilifu vya kutumia kuhifadhia mazao yao. Akizungumza na Dodoma fm Afisa kilimo mkoa wa Dodoma…
29 April 2021, 6:35 am
Na;Yussuph Hans. Naibu Waziri wa Afya, Godwin Mollel, amesema kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya upandikizaji wa viungo Nchini, Serikali imeandaa Muswada wa kutunga Sheria itakayoongoza taratibu za uvunaji, utunzaji na upandikizaji wa viungo Ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma wakati akimjibu Mbunge…
29 April 2021, 6:17 am
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji Cha Chanhumba Kata ya Handali Wilayani Chamwino wamelalamikia ukosefu wa dawa katika Zahanati ya Kijiji hicho hali inayowalazimu kununua dawa katika maduka ya dawa. Hayo yameelezwa na wakazi wa Kijiji hicho wakati wakizungumza na…
29 April 2021, 6:00 am
Na; Seleman Kodima. Diwani wa kata ya Nkonko wilayani Manyoni Ezekiel Samwel amesema ataendelea kupambana na kuhakikisha Vijana katika kata yake wanachangamka na Kupata mkopo unaotolewa Halmashauri kwa kundi la wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kujikwamua kiuchumi, kujiongezea…
29 April 2021, 5:42 am
Na; Mariam Matundu. Wakati taasisi ya haki elimu ikitarajia kuzindua ripoti ya uchambuzi wa kina wa sera ya elimu leo April 29 ,miundombinu hafifu imetajwa kuwa kikwazo katika utekelezaji wa sera ya elimu ya mwaka 2014. Mwandishi wetu Mariam Matundu…
27 April 2021, 11:39 am
Na; Victor Chigwada Kituo cha afya kilichopo katika Kijiji cha Mpalanga Wilayani Bahi kinakabiliwa na upungufu wa wahudumu wa afya pamoja na mganga mkuu hali inayodhohofisha utoaji huduma. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wa Kata hiyo wakati wakizungumza na…
27 April 2021, 10:00 am
Na; Seleman Kodima Wakazi wa kata ya Wotta wilayani Mpwapwa wameishukuru Dodoma fm redio kwa Juhudi ya kubwa walizofanikisha kuripoti tatizo la uhaba wa madawati ktika shule ya sekondari na hatimaye Changamoto hiyo kufanyiwa kazi . Hayo yamejiri baada ya…
27 April 2021, 9:21 am
NA; Shani Nicoalus Wananchi jijini Dodoma wametoa wito wa kupatiwa elimu juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kutokana na kutoifahamu ipasavyo. Hatua hii imefikiwa baada ya hivi karibuni Halmashauri kuu ya Chama cha…
27 April 2021, 8:53 am
Na;Jayunga Pius Wanawake walio katika umri wa kujifungua wameshauriwa kutumia chakula aina ya ugali unatokana na unga ambao umeongezwa virutubishi ili kuepuka kujifungua watoto walio na matatizo mbalimbali ya kiafya ikiwemo kichwa kikubwa na mgongo wazi. Ushauri huo umetolewa na…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-