Dodoma FM
Dodoma FM
1 June 2021, 6:09 am
Na; Benjamin Suluwano. Wafanyabiashara wa soko la sabasaba wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ya kurahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka soko la Job Ndugai kwenda sokoni . Wakizungumza na Dodoma fm baadhi ya wafanyabiashara wamesema wanaomba wapunguzie ushuru na serikali iongeze…
31 May 2021, 3:56 pm
Na; Rabiamen Shoo. MKUU wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka amelitaka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kuandaa mkutano wa tathimini ya maonyesho ya vyuo vya ufundi ili kuona tija ya maonyesho hayo. Kauli hiyo aliitoa jana mara…
31 May 2021, 3:36 pm
Na;Yussuph Hans. Wito umetolewa kwa Viongozi wa dini kuendelea kuimarisha Malezi na mafundisho ya kiroho ndani ya jamii ili kuepusha mmomonyoko wa maadili na kujenga kizazi bora. Wito huo umetolewa na wakazi jijini hapa wakati wakizungumza na taswira ya habari…
31 May 2021, 12:54 pm
Na; Shani Nicolous. Wakazi wa mtaa wa Ilazo kati kata ya Ipagala jijini Dodoma wamelalamikia ucheleweshwaji wa uondoshaji wa taka takika mazingira yao hali inayosababisha kuzagaa kwa uchafu mtaani. Wakizungumza na Dodoma fm wakazi hao wamesema kuwa kuna wakati taka…
29 May 2021, 3:29 pm
Na; Mindi Joseph. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Seleman Jafo ameziagiza Halmshauri zote nchini kupanda miti isiyopungua Milioni moja na laki tano kila mwaka ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Waziri Jafo ametoa maagizo…
28 May 2021, 1:54 pm
Na;Yussuph Hans. Ikiwa leo ni siku ya hedhi Duniani moja ya changamoto wanayokutanayo wasichana nchini, ni baadhi ya wazazi kushindwa kubadili mtazamo wao na kuvunja ukimya kuhusu masuala ya hedhi. Hayo yamebainishwa na baadhi ya Wasichana jijini hapa wakati wakizungumza…
28 May 2021, 1:34 pm
Na; Victor Chigwada. Baadhi ya Shule katika Kata ya Mpalanga Wilayani Bahi zinakabiliwa na upungufu wa vyumba vya madarasa hali inayokwamisha maendeleo ya wanafunzi darasani. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema walianzisha ujenzi wa vyumba vya…
28 May 2021, 1:21 pm
Na; MIND JOSEPH. Serikali imezitaka taasisi pamoja na vyuo vinavyohusika kutoa elimu ya Ufundi nchini kuhakikisha vinatoa elimu bora inayokidhi viwango na mahitaji ya soko la ajira. Hayo yamesemwa leo na waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassim…
28 May 2021, 1:04 pm
Na; Mariam Matundu. Baadhi ya Wazazi na walezi Mkoani Rukwa wameelezwa kuchangia kuchelewesha upatikanaji wa haki kwa waathirika wa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto. Akizungumza na wadau wa Jukwaa la Haki Jinai Mkoani Dodoma, Katibu Mkuu Wizara ya Afya-…
28 May 2021, 12:41 pm
Na; SHANI NICOLOUS. Mamlaka ya usimamizi wa bima Tanzania TIRA wametoa wito kwa wamiliki wa bima kuzingatia vitu muhimu vinavyohitajika wakati wakileta madai yao ili kupatiwa huduma sahihi itakayosaidia kutatua madai hayo. Akizungumza na Dodoma fm Afisa mwandamizi wa bima…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-