Dodoma FM

Recent posts

18 October 2021, 12:59

Rais Samia awataka wananchi kujikinga na uviko 19 kwa kupata chanjo

Na; Fred Cheti. Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hasani amewataka watanzania kujikinga na uviko 19 kwa kupata chanjo ili kuipunguzia serikali gharama zitakazotokana na matibabu ya ugonjwa huo. Rais Samia ameyasema hayo leo octoba 18 jijini…

18 October 2021, 11:55

Wakazi wa kata ya Handali waaswa kuepuka kupitisha mifugo barabarani

Na; Benard Filbert. Wakazi wa kata ya Handali wilaya ya Chwamwino mkoani Dodoma wameombwa kuepuka kupitisha mifugo kwenye barabara kuepuka uharibifu ambao umekuwa ukitokea. Hayo yanajiri kufuatia hivi karibuni kukamilika kwa marekebisho ya barabara za ndani katika kata hiyo.Akizungumza na…

15 October 2021, 11:59

Jamii yatakiwa kuzingatia Afya ya Macho

Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuzingatia afya ya macho kwa kupima mara kwa mara macho . Akizungumza na Taswita ya habari meneja wa mpango wa taifa wa huduma ya macho wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee…

15 October 2021, 11:36

Wanawake ni muhimu katika maendeleo ya Taifa lolote Duniani

Na ; Selemani Kodima. Rais wa Urusi Vladimir Putin ameonesha kuwa wanawake ni muhimu katika maendeleo ya taifa lolote kulingana na asili ya majukumu yao wanayoyafanya hasa katika malezi kwa mtoto. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya, Maendelo ya Jamii,…

14 October 2021, 12:23

Wakazi wa Zuzu waiomba serikali kuwalipa fedha za fidia ya maeneo yao

Na; Benard Filbert. Wakazi wa mtaa wa Zuzu jijini Dodoma wameiomba serikali kuwalipa fedha za fidia ya maeneo ambazo waliahidiwa baada ya kuondolewa katika maeneo yao kupisha kujengwa kwa miundombinu ya umeme wa reli ya kisasa (Standard Gauge). Wametoa malalamiko…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger