Dodoma FM
Dodoma FM
19 October 2021, 10:58
Na; Thadei Tesha. Vyombo vya habari vimeshauriwa kutoa kipaumbele kwa Watu wenye ulemavu wa kutosikia kwa kuboresha mwonekeno wa watafsiri wa lugha ya Alama. Wito huo umetolewa na Bi Joyce Masha ambaye ni mkurugenzi wa shirika la Foundation for disability…
18 October 2021, 12:59
Na; Fred Cheti. Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hasani amewataka watanzania kujikinga na uviko 19 kwa kupata chanjo ili kuipunguzia serikali gharama zitakazotokana na matibabu ya ugonjwa huo. Rais Samia ameyasema hayo leo octoba 18 jijini…
18 October 2021, 12:11
Na; Selemani Kodima. Inaelezwa kuwa utumiaji na kuchangia dawa ya meno kwa watu wengi ni njia mojawapo inayoweza kuchangia maambukizi ya ugonjwa uviko-19 . Hayo yamesemwa na Dkt Baraka Nzobo mtaalamu wa ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa kutoka wizara ya…
18 October 2021, 11:55
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kata ya Handali wilaya ya Chwamwino mkoani Dodoma wameombwa kuepuka kupitisha mifugo kwenye barabara kuepuka uharibifu ambao umekuwa ukitokea. Hayo yanajiri kufuatia hivi karibuni kukamilika kwa marekebisho ya barabara za ndani katika kata hiyo.Akizungumza na…
18 October 2021, 11:18
Na; Shani Nicolous. Jamii imetakiwa kuzingatia fursa za kiuchumi nchini na kufanya kazi kwa bidii ili kutokomeza umaskini nchini. Akizungumza na Taswira ya habari mchambuzi wa masuala ya kiuchumi na mkuu wa fedha katika Chuo kikuu cha mtakatifu Yohana Dodoma…
15 October 2021, 11:59
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuzingatia afya ya macho kwa kupima mara kwa mara macho . Akizungumza na Taswita ya habari meneja wa mpango wa taifa wa huduma ya macho wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee…
15 October 2021, 11:47
Na; Benard Filbert. Mafundi wanaotengeneza simu za mkononi zilizoharibika wameombwa kuacha tabia ya kuflash simu kwa lengo la kuondoa ulinzi kufanya hivyo ni kinyume na sheria ya makosa ya mitandao. Hayo yameelezwa na Bi Rachel Charles katibu wa kamati ya…
15 October 2021, 11:36
Na ; Selemani Kodima. Rais wa Urusi Vladimir Putin ameonesha kuwa wanawake ni muhimu katika maendeleo ya taifa lolote kulingana na asili ya majukumu yao wanayoyafanya hasa katika malezi kwa mtoto. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya, Maendelo ya Jamii,…
14 October 2021, 12:37
Na; Fred Cheti. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani leo Oktoba 14 ameshiriki katika kilele cha mbio za mwenge wa uhuru pamoja na tukio la kumbikizi ya miaka 22 ya kifo cha baba…
14 October 2021, 12:23
Na; Benard Filbert. Wakazi wa mtaa wa Zuzu jijini Dodoma wameiomba serikali kuwalipa fedha za fidia ya maeneo ambazo waliahidiwa baada ya kuondolewa katika maeneo yao kupisha kujengwa kwa miundombinu ya umeme wa reli ya kisasa (Standard Gauge). Wametoa malalamiko…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-