Dodoma FM

Recent posts

26 September 2025, 12:41 pm

VEO Paranga watakiwa kuwajibika kwa wananchi

Hatua hizi zinakuja baada ya Shirika la AFNET kwa kushirikiana na Ofisi ya TAKUKURU wilayani Chemba na Kamati ya Ufuatiliaji ngazi ya jamii, kuendesha zoezi la kubaini miradi ya kufuatilia katika vijiji vya Kelema Kuu na Sori mwezi Agosti mwaka…

25 September 2025, 4:22 pm

Sauti ya tiba sehemu ya nne

Karibu katika igizo la sauti ya tiba sehemu ya nne uweze kujifunza na kuburudika kupitia Dodoma fm redio.

25 September 2025, 4:01 pm

Zimamoto Dodoma yaendelea na upanuzi wa barabara ndani ya masoko

Upanuzi wa barabara unafanyika kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa huduma za dharura pindi majanga yatakapojitokeza. Na Lilian Leopold.Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma Septemba 24, 2025 limeendelea na zoezi la kupanua barabara ndani ya masoko ambapo limefanyika…

25 September 2025, 3:06 pm

Wajibu wa wazazi, walezi katika elimu ya afya ya uzazi kwa vijana

Mikakati kama vile elimu ya kina ya afya ya uzazi kwa vijana, upatikanaji wa huduma rafiki za afya, na ushirikishwaji wa jamii katika kubadili mitazamo potofu kuhusu mimba za utotoni inahitajika.​ Na Mariam Matundu. Wazazi na walezi wana wajibu wa…

25 September 2025, 1:58 pm

Elimu afya ya uzazi inavyoepusha mimba za utotoni

Wasichana walio katika hatari kubwa ya kupata mimba wapatiwe motisha ili kuwasaidia kumaliza shule kama vile malipo ya kifedha au programu za masomo. Na Mariam Kasawa. Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni WHO limetoa mwongozo mpya wa kimataifa unaolenga kuzuia…

25 September 2025, 1:32 pm

Ipi nafasi ya mwanamme kwa mwanawake wanawania nafasi za uongozi?

Hakuna shaka kuwa ili kufikia usawa wa kijinsia, wanawake wanahitaji kujiandaa kwa namna ya kipekee na kujipanga vizuri zaidi katika kupata nafasi za uongozi. Ingawa vyama vya siasa vimeanzisha mikakati ya kuwawezesha wanawake, bado kuna upungufu wa ufanisi katika utekelezaji…

24 September 2025, 6:28 pm

Wananchi watakiwa kuzingatia sheria ya mirathi

Komba ameitaka jamii kwa ujumla kutafuta ushauri wa kisheria mapema wanapokutana na changamoto zinazohusiana na mirathi, ili kuhakikisha haki za warithi zinatimizwa na mgogoro wowote unatatuliwa kwa mujibu wa sheria. Na Joseph Julius.Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia masharti ya sheria…

24 September 2025, 6:06 pm

Bodaboda watakiwa kujiunga na vyama vya wafanyakazi

Maafisa usafirishaji wametakiwa kuhakikisha wanapata vitambulisho vya kidijitali vya wafanyabiashara wadogo ili kuwasaidia kupangiwa maeneo rasmi ya kufanyia kazi. Na Lilian Leopold.Zaidi ya vijana 23,000 jijini Dodoma wanajipatia kipato cha kila siku kupitia uendeshaji wa pikipiki na bajaji . Wakizungumza…

23 September 2025, 4:46 pm

Wafanyakazi wa nyumbani wanakumbana na ukatili-ILO

Wafanyakazi wa nyumbani bado wanakumbwa na unyanyasaji kwa sababu kazi hiyo haieshimiwi kama kazi rasmi. Na Lilian Leopold.Kulingana na ripoti kutoka Shirika la Kazi Duniani (ILO), zaidi ya watu milioni moja wameajiriwa kama wafanyakazi wa nyumbani nchini na wengi wao…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger