Dodoma FM

Recent posts

30 September 2025, 1:16 pm

Jitihada za wazazi Ihumwa zaongeza walimu wa sayansi

Jitihada hizo pia zimeongeza ufanisi wa ufundishaji, ikiwemo ununuzi wa vifaa vya kufundishia vilivyoboreshwa kupitia michango ya wazazi. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa jitihada za wazazi katika Shule ya Sekondari Ihumwa zimekuwa chachu ya kuongeza upatikanaji wa walimu wa masomo ya…

30 September 2025, 12:53 pm

RUWASA yaombwa kuboresha miundombinu ya maji Iwondo

Changamoto kubwa ni kukosekana kwa umeme wa kutosha wa kusukuma mashine za visima vilivyopo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa kijiji cha Iwondo, Kata ya Dabalo, Wilaya ya Chamwino wameiomba Mamlaka ya Usimamizi wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA)…

29 September 2025, 3:10 pm

Mavunde: Tusimame katika taaluma, tufanye kazi bila upendeleo

Kongamano hilo limewakutanisha waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mkoani Dodoma na maeneo jirani, kwa lengo la kujenga uelewa wa pamoja kuhusu namna ya kuripoti habari za uchaguzi kwa ufanisi, pamoja na kuongeza ulinzi na usalama wa waandishi…

29 September 2025, 2:23 pm

UCSAF yakamilisha minara 734, ujenzi wafikia asilimia 96.83

Minara iliyosalia ni 24 pekee, na inatarajiwa kukamilika hivi karibuni ili kuhakikisha huduma za mawasiliano zinafika katika maeneo yote yaliyopangwa. Na Mariam Matundu.Ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano unaosimamiwa na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umefikia hatua kubwa ya…

29 September 2025, 2:13 pm

Uzembe kisheria unavyoharibu mazingira Dodoma sehemu ya 2

Utupaji wa taka ovyo unatajwa kuharibu mazingira kwa kiasi kikubwa kwa kusababisha taka nyingi kusambaa ovyo. Na Mariam Kasawa. Msikilizaji, leo tunazungumzia Kutotekelezwa kwa sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 sura 20 kufungu cha 114-116 kumesababisha kulundikana kwa…

26 September 2025, 3:28 pm

Tume ya utumishi wa umma kutoa maamuzi ya rufaa 108 jijini Dodoma

Miongoni mwa sababu zinazojitokeza mara kwa mara katika rufaa hizo ni pamoja na Kukiuka maadili ya utumishi wa umma,Kughushi vyeti au kutoa taarifa za uongo,Uzembe kazini,Wizi wa mali za umma Na Seleman Kodima.Tume ya Utumishi wa Umma inatarajia kutoa maamuzi…

26 September 2025, 3:07 pm

MTAKUWWA kutoa elimu juu ya madhara ya ajira kwa watoto

Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) Halmashauri ya Jiji la Dodoma umefanya kikao kwaajili ya kuandaa mpango wa kuelimisha jamii na kuhakikisha watoto wanaenda shule na kuepuka mazingira hatarishi ya ajira zisizo rasmi. Na…

26 September 2025, 2:14 pm

Uzembe kisheria unavyoharibu mazingira Dodoma

Msikilizaji, leo tunazungumzia Kutotekelezwa kwa sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 sura 20 kufungu cha 114-116 kumesababisha kulundikana kwa taka za majumbani katika mitaa ya Chanagnyikeni, Kibaoni na St Gemma katika kata ya Miyuji Jijini Dodoma. Na Mariam…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger