Dodoma FM
Dodoma FM
7 January 2026, 12:22
Wamekuwa wakikumbana na adha ya kuchelewa kuanza safari kutokana na baadhi ya vituo vya mabasi kuathiriwa na hali ya mvua. Na Anwary Shaban. Baadhi ya wasafiri katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dodoma wameeleza kukumbwa na changamoto ya kuchelewa kuanza…
6 January 2026, 16:46
Picha ni maji machafu ya mvua yaliyotuhama katika baadhi ya makazi ya watu, mtaa wa Miyuji Proper. Picha na Lilian Leopold. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kufunika mitaro wazi, kuondoa maji yaliyotuama, kuwafuatilia watoto wanapocheza pamoja na kuwahimiza watoto…
6 January 2026, 16:05
Picha ni Afisa Sheria wa Jiji la Dodoma, Godfrey Ngazi akizungumza na waandishi wa habari. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Ameongeza kuwa wafanyabiashara watakaokaidi kulipa kodi hizo watawajibishwa vikali kwa mujibu wa sheria. Na Mwandishi wetu. Halmashauri ya…
5 January 2026, 17:25
Aidha, uongozi unahamasisha usafi wa pamoja, kudhibiti maeneo yanayozalisha mbu, na kushirikiana na wataalam wa afya ili kuzuia milipuko ya magonjwa, huku wakisisitiza umuhimu wa kushirikiana kwa jamii ili kulinda afya zao na za familia zao. Na Anwary Shabani. Jamii…
5 January 2026, 16:46
Ujenzi wa daraja hilo unakadiliwa kutumia zaidi ya Milioni mia tano ukiwa chini ya usimamizi wa mamlaka ya usimamizi barabara vijijini TARURA. Na Victor Chigwada. Kukamilika kwa daraja linalounganisha kata za Mlowa barabarani, Iringa Mvumi na Makang’wa imekuwa chanzo cha…
5 January 2026, 16:19
Sera hiyo inasisitiza ushirikiano kati ya serikali, jamii na wazazi katika kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa elimu, ikiwemo kuhakikisha watoto wanajiandikisha na kuhudhuria shule ili kupata maarifa na stadi muhimu kwa maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Na Lilian Leopold.…
2 January 2026, 15:38
“Ndugu zangu, miti ina faida nyingi tuitikie wito huu. Dhamira ya mheshimiwa rais wetu ni njema sana ndio maana aliwaagiza TFS kuandaa miche kila mwaka na kugawia wananchi bure ili waipande hali itakayohamasisha wengine kupenda mazingira na kupanda miti” alisema…
24 December 2025, 15:47
Maadhimisho hayo yaliambatana na utoaji wa elimu ya lishe, ushauri wa afya, pamoja na upimaji wa afya kwa watoto. Na Anwary Shaban.Diwani wa Kata Mnadani, Mugendi Karenge amewataka wananchi wa Mtaa wa Ndachi kuzingatia masuala ya afya na lishe bora…
24 December 2025, 15:17
Usomaji wa vitabu kwa vijana unatajwa pia kama njia moja wapo ya kujiongezea maarifa. Na Bennard Komba.Ushauri umetolewa kwa vijana kuhakikisha wanaweka utaratibu wa kusoma vitabu mbalimbali ili kubadili fikra na kujiongezea maarifa yatakayowaongoza katika mafanikio. Pamela Jerome ni kijana…
24 December 2025, 14:57
Wananchi wamesema kuwa hali hiyo inachangiwa na kuchelewa kwa Mvua pamoja na miundombinu mibovu ya barabara. Na Stephen NoelWANANCHI wa wilaya ya Mpwapwa wamelalamikia kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa mbalimbali huku msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-