Dodoma FM

Recent posts

7 January 2026, 12:22

Abiria walalamika kucheleweshewa safari

Wamekuwa wakikumbana na adha ya kuchelewa kuanza safari kutokana na baadhi ya vituo vya mabasi kuathiriwa na hali ya mvua. Na Anwary Shaban. Baadhi ya wasafiri katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dodoma wameeleza kukumbwa na changamoto ya kuchelewa kuanza…

6 January 2026, 16:46

Wananchi Miyuji waongeza tahadhari kwa watoto msimu wa mvua

Picha ni maji machafu ya mvua yaliyotuhama katika baadhi ya makazi ya watu, mtaa wa Miyuji Proper. Picha na Lilian Leopold. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kufunika mitaro wazi, kuondoa maji yaliyotuama, kuwafuatilia watoto wanapocheza pamoja na kuwahimiza watoto…

6 January 2026, 16:05

Wafanyabiashara Dodoma kizimbani kwa kukaidi kulipa kodi

Picha ni Afisa Sheria wa Jiji la Dodoma, Godfrey Ngazi akizungumza na waandishi wa habari. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Ameongeza kuwa wafanyabiashara watakaokaidi kulipa kodi hizo watawajibishwa vikali kwa mujibu wa sheria. Na Mwandishi wetu. Halmashauri ya…

5 January 2026, 17:25

Dodoma wachukua tahadhari za kiafya kipindi cha mvua

Aidha, uongozi unahamasisha usafi wa pamoja, kudhibiti maeneo yanayozalisha mbu, na kushirikiana na wataalam wa afya ili kuzuia milipuko ya magonjwa, huku wakisisitiza umuhimu wa kushirikiana kwa jamii ili kulinda afya zao na za familia zao. Na Anwary Shabani. Jamii…

5 January 2026, 16:46

Daraja jipya Mlowa laondoa kero ya usafiri kwa wananchi

Ujenzi wa daraja hilo unakadiliwa kutumia zaidi ya Milioni mia tano ukiwa chini ya usimamizi wa mamlaka ya usimamizi barabara vijijini TARURA. Na Victor Chigwada. Kukamilika kwa daraja linalounganisha kata za Mlowa barabarani, Iringa Mvumi na Makang’wa imekuwa chanzo cha…

5 January 2026, 16:19

Wazazi waonesha utayari kuelekea kufunguliwa shule Januari 13

Sera hiyo inasisitiza ushirikiano kati ya serikali, jamii na wazazi katika kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa elimu, ikiwemo kuhakikisha watoto wanajiandikisha na kuhudhuria shule ili kupata maarifa na stadi muhimu kwa maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Na Lilian Leopold.…

2 January 2026, 15:38

Dodoma yaendelea kupiga hatua kampeni ya upandaji miti

“Ndugu zangu, miti ina faida nyingi tuitikie wito huu. Dhamira ya mheshimiwa rais wetu ni njema sana ndio maana aliwaagiza TFS kuandaa miche kila mwaka na kugawia wananchi bure ili waipande hali itakayohamasisha wengine kupenda mazingira na kupanda miti” alisema…

24 December 2025, 15:47

Diwani ahimiza wananchi kuzingatia lishe bora Ndachi

Maadhimisho hayo yaliambatana na utoaji wa elimu ya lishe, ushauri wa afya, pamoja na upimaji wa afya kwa watoto. Na Anwary Shaban.Diwani wa Kata Mnadani, Mugendi Karenge amewataka wananchi wa Mtaa wa Ndachi kuzingatia masuala ya afya na lishe bora…

24 December 2025, 15:17

Vijana watakiwa kuweka utaratibu wa kusoma vitabu

Usomaji wa vitabu kwa vijana unatajwa pia kama njia moja wapo ya kujiongezea maarifa. Na Bennard Komba.Ushauri umetolewa kwa vijana kuhakikisha wanaweka utaratibu wa kusoma vitabu mbalimbali ili kubadili fikra na kujiongezea maarifa yatakayowaongoza katika mafanikio. Pamela Jerome ni kijana…

24 December 2025, 14:57

Bidhaa zapanda bei kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya

Wananchi wamesema kuwa hali hiyo inachangiwa na kuchelewa kwa Mvua pamoja na miundombinu mibovu ya barabara. Na Stephen NoelWANANCHI wa wilaya ya Mpwapwa wamelalamikia kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa mbalimbali huku msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger