Dodoma FM

Recent posts

2 October 2025, 1:23 pm

Vikundi vyaelimishwa matumizi ya NeST, Dodoma

Kupitia mfumo wa NeST, vikundi vya kijamii sasa vinaweza kushiriki kikamilifu katika manunuzi ya serikali kupitia usajili mtandaoni, kuomba zabuni, na kufuatilia hatua za maombi yao. Na Lilian Leopold . Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanya kikao na vikundi mbalimbali…

2 October 2025, 11:05 am

Wakazi Mjelo waomba suluhisho la kisima cha maji

Hali hiyo inatokea zaidi ya miaka mitano tangu kuanzishwa kwa mradi mkubwa wa kisima cha maji, ambao ulitarajiwa kumaliza tatizo la uhaba wa maji safi na salama katika vijiji vya kata hiyo. Picha na RUWASA. Wameeleza kuwa hali hii imeendelea…

1 October 2025, 5:40 pm

Ratiba ya ligi ya mkoa kwa mwaka 2025/2026 yawekwa wazi

Ligi hiyo ambayo hufanyika kila mwaka inalenga kuinua vipaji vya wachezaji chipukizi pamoja na kuongeza hamasa ya michezo katika jamii ya Dodoma. Picha na Hamis Makila. Hadi hivi sasa imechezwa michezo miwili na ligi inatajaria kuendelea Oktoba 04 na 05.…

1 October 2025, 4:53 pm

RUWASA yaombwa kuongeza nguvu kusimamia miundombinu ya maji

Miundombinu ya maji kuharibika mara kwa mara hasa mabomba kupasuka, hali inayosababisha visima na vituo vya maji kushindwa kutoa huduma ya uhakika. Picha na RUWASA. Wananchi hao wamesema kuwa hapo awali baadhi ya visima vilisimamiwa na kamati za huduma ya…

1 October 2025, 4:21 pm

Mikataba ya upangaji izingatiwe kuondoa migogoro

Sheria ya Wenye Nyumba na Wapangaji – Toleo la 2009) ya Tanzania lengo lake ni kuhakikisha uwiano wa haki na wajibu kati ya mwenye nyumba na mpangaji, kuzuia migogoro, na kutoa mfumo wa kisheria wa kutatua mizozo ya upangaji. Picha…

1 October 2025, 4:00 pm

Lishe bora kwa watoto izingatiwe kupunguza udumavu

Pichani ni baadhi ya wananchi waliojitokeza katika Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe kata ya Matumbulu. Picha na Lilian Leopold. Elimu hii inalenga kupunguza tatizo la udumavu kwa watoto wenye umri wa miaka mitano na kushuka chini. Na Lilian…

1 October 2025, 12:04 pm

Kukosekana kwa kiinua mgongo, mshahara kilio kwa wenyeviti

Wamesema hali hiyo imewavunja moyo kuendelea kutumikia wananchi bila malipo ya kifuta jasho.Wanaiomba serikali kuwatambua kama sehemu ya ngazi za uongozi na kuwapa posho za kila mwezi. Picha na Blogsport. Kilio hiki cha wenyeviti kukosa mishahara au kifuta jasho kimeendelea…

30 September 2025, 5:10 pm

Serikali yaendelea kudumisha huduma bora kwa wazee

Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani hufanyika Oktoba 1 kila mwaka, yakilenga kutambua mchango wa kundi hilo na kuhamasisha jamii kuendelea kuliheshimu, kulilinda na kulipatia huduma bora. Na Mariam Matundu.Katika kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, Serikali…

30 September 2025, 4:57 pm

Sauti ya tiba sehemu ya nne

Karibu msikilizaji kusikiliza igizo la sauti ya tiba linalo kujia kupitia Dodoma fm redio.

30 September 2025, 2:34 pm

Serikali, wadau waja na mikakati kilimo biashara

Kupitia mradi huo, vijana wanapewa mafunzo ya kilimo chenye tija, ujasiriamali, elimu ya fedha, na uelewa wa mnyororo wa thamani wa mazao. Na Seleman Kodima. Licha ya sekta ya kilimo kuchangia ajira kwa Watanzania kwa Asilimia 65.5, bado imeendelea kukumbwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger