Dodoma FM
Dodoma FM
28 March 2023, 2:00 pm
Mafunzo hayo yamezinduliwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo bi Habiba Ryengite yatakaohusisha wanawake 400. Na Alfred Bulahya Taasisi ya Wanawake na uchumi wa viwanda WAUVI imezindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Jijini Dodoma kwa ajili ya kuwawezesha kutengeneza…
28 March 2023, 1:42 pm
Wafanyabiashara wa vyakula jijini Dodoma wamelalamikia ugumu wa biashara hususani katika kipindi hiki ambapo waislamu na baadhi ya wakristo wakiwa katika kipindi cha mfungo. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa vyakula jijini Dodoma wamelalamikia ugumu wa biashara hususani katika kipindi hiki…
27 March 2023, 5:46 pm
Halmashauri ya Jiji la Dodoma lazima iwe mfano kwa kushika nafasi ya juu katika elimu na si elimu tu hata kwenye mambo mengine. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kushirikiana na wadau mbalimbali wa elimu jijini hapa…
27 March 2023, 3:42 pm
Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi sokoni wamejitokeza kwa wingi kushiriki Ujenzi wa Barabara inayotarajiwa kuunganisha mawasiliano ya wananchi wa kijiji hicho na kitongoji cha Sanduli ambacho hakikuwa na barabara. Barabara hiyo ambayo inajengwa kwa nguvu za wananchi…
27 March 2023, 3:41 pm
Hii hapa simulizi nzima ya ajali ya treni hiyo na ni kwanini eneo hilo limeitwa eneo la makaburi ya wahanga. Na Martha Mgaya. Tarehe 24 juni 2002 ni tarehe isiyo sahaulika katika kumbukumbu ya wana Dodoma na watanzania wote kwasababu…
27 March 2023, 3:10 pm
Huu ni Muendelezo wa kanisa hilo katika harakati za kuomba serikali ya wilaya ,mkoa na wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuweza kumaliza mgogoro huo ambao wameshindwa kujua ni lini utapata ufumbuzi. Na Seleman Kodima. Uongozi wa kanisa la…
27 March 2023, 2:47 pm
Baadhi ya wadau wa elimu na viongozi wa serikali za mitaa katika kata nne za halmashauri ya wilaya ya chamwino walioshiriki mafunzo hayo wamesema kuwa kupitia mafunzo hayo kumekuwa na matokeo chanya.. Na Seleman Kodima. Wadau wa Elimu wilayani Chamwino…
27 March 2023, 2:43 pm
Ufugaji wa njiwa ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kusaidia baadhi ya watu kujinufaisha na kujikwamua kiuchumi. Na Thadei Tesha. Ufugaji wa njiwa ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kusaidia baadhi ya watu kujinufaisha na kujikwamua kiuchumi. Bw.…
27 March 2023, 2:20 pm
Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kujikita katika kilimo Cha Umwagiliaji Ili kuondoa Janga la njaa, kujiongezea kipato na kukabiliana na mabadiliko ya tabi ya nchi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule…
24 March 2023, 4:30 pm
Awali madereva hao walikuwa wakifanyia biashara za uasafirishaji katika kituo cha sabasaba kabla ya kuahamishiwa katika kituo kipya cha machinga Complex . Na Thadey Tesha. Baadhi ya madereva wa daladala jijini Dodoma wamesema kuwa licha ya serikali kuwahamishia katika kituo…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-