Dodoma FM

Recent posts

6 April 2023, 2:29 pm

Wananchi Nguji kuondokana na tatizo la huduma za afya

Jengo la zahanati ya nguji ni miongozi mwa majengo mapya zaidi ya saba ya kutolea huduma za afya yanayoendelea kujengwa wilayani Bahi. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Nguji wilayani Bahi wanatarajia kuondokana na tatizo la kukosa huduma za…

5 April 2023, 5:57 pm

Serikali yatenga billioni 15 kwaajili ya kukamilishaji zahanati 300

Mbunge wa Jimbo la Rorya, Mhe. Jafari Wambura alitaka kujua Je, nini mpango wa Serikali wa kumaliza ujenzi wa Zahanati kwa vijiji vilivyokamilisha ujenzi wa maboma. Na Pius Jayunga. Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amesema…

5 April 2023, 5:16 pm

Ishi na mti kauli njema ya kutunza mazingira

Kampeni ya ISHI NA MTI ni kampeni iliyoanzishwa na Kampuni ya Dodoma Media Group kwa lengo la kuunga mkono juhudi za serikali katika utunzaji wa Mazingira hasa upandaji wa miti katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dodoma. Na Fred Cheti.…

5 April 2023, 3:39 pm

Vijana watakiwa kugeukia kilimo ili kuboresha uchumu

Vijana wanapaswa kugeukia kilimo kwa kuzingatia mikakati ya serikali iliyopo. Na Mindi Joseph. Asasi zisizo za kiserikali zimeendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha vijana wanajihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imezungumza na wadau wa asasi…

5 April 2023, 3:00 pm

Chinuguli waomba kuongezewa nguzo za umeme

Wamesema hali hiyo  inatokana na idadi ndogo ya nguzo zilizopo katika kijiji hicho ambazo zimeelekezwa katika Taasisi mbalimbali. Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Chinuguli Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwaongezea idadi ya nguzo za nishati ya umeme ili…

5 April 2023, 1:21 pm

Tozo za mafuta na dizeli kujenga km 36 barabara wilayani Bahi

Kukamilika kwa barabara hiyo ambayo inajengwa kwa kiwango cha changarawe kutachochea maendeleo ya wananchi wa maeneo hayo. Na Benard Magawa Zaidi ya shilingi Millioni 919 za Tozo ya mafuta ya dizeli na Petrol kutoka serikali kuu zinatarajia kukamilisha ujenzi wa…

4 April 2023, 6:18 pm

Taka ngumu zageuka ajira na kipato

Hapa nchini pia hatua mbalimbali zimekua zikichukuliwa na serikali katika kuyahifadhi mazingira. Na Fred Cheti. Uhifadhi wa mazingira unatajwa kuwa ni moja ya hatua muhimu kutokana na kuwa rasilimali ardhi pamoja na kua nguzo kuu katika maendeleo ya nchi mbalimbali…

4 April 2023, 5:35 pm

Bodi ya nafaka yaendelea kuimarisha soko la mazao Dodoma

Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko imefanikiwa kununua  mazao ya wakulima yenye thamani ya Shilingi 9.6 Bilioni na kuzalisha Tani 480 zilizotolewa msaada Nchini Malawi. Na Mindi Joseph. Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko Mkoani Dodoma inaendelea kuimarisha Soko la…

4 April 2023, 3:48 pm

Ufahamu ugonjwa wa P.I.D

Maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke yanayosababishwa na bakteria wakati mwingine huweza kupelekea ugumba. Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi P.I.D ni moja kati ya magonjwa ya zinaa yanayoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke endapo hatapatiwa tiba kwa wakati.

4 April 2023, 3:20 pm

Mteremko mkali tishio kwa maafisa usafirishaji kisima cha nyoka

Kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo wamesema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ya miundombinu ya barabara kutokana na umuhimu wake katika shughuli mbalimbali za kijaamii pamoja na kiuchumi. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana wanaojihusisha na biashara…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger