Dodoma FM
Dodoma FM
9 October 2025, 5:17 pm
Picha ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Khatibu Kazungu, wakati akifungua mafunzo kwa vikundi , katika ukumbi wa Nala Hotel, Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.Dkt. Kazungu amesema mafunzo hayo yanalenga kuongeza ujuzi na maarifa…
9 October 2025, 3:42 pm
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati wa ziara yake katika eneo la Hombolo. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Aidha, amesema mradi huo ni wa mfano wa kuigwa nchini, na utawasaidia wakulima wengine kujifunza…
9 October 2025, 12:32 pm
Matumizi sahihi ya mtandao yanachangia kukuza ubunifu na maarifa katika nyanja mbalimbali. Kupitia teknolojia hii, watu wanaweza kupata taarifa, kujifunza mbinu mpya, na kubuni mawazo yatakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Picha na Google. Bi. Lawi ameongeza kuwa mtu anaweza…
9 October 2025, 10:31 am
Picha ni baadhi wa wananchi wakiwa na mifugo yao katika Mnada wa Mbalawala. Picha na Lilian Leopold. Katika ziara hiyo, timu ya watumishi wa kanda ilishiriki katika shughuli za makusanyo ya ushuru wa mifugo, biashara ndogo ndogo, pamoja na utoaji…
8 October 2025, 5:21 pm
Picha ni wachezaji wa timu ya kikapu ya Odilo kutoka mkoa wa Dodoma. Picha na Hamis Makila. Wachezaji hao wameipongeza kampuni hiyo kwa kujitokeza kuunga mkono michezo mkoani Dodoma na wameomba kuendelea kudhaminiwa katika mashindano yajayo. Na Hamis Makila. Baada…
8 October 2025, 2:37 pm
Uzinduzi huo umeonesha dhamira ya DUWASA kuendelea kujenga mahusiano bora na wananchi, huku ikiboresha huduma kwa kuzingatia maoni na mahitaji ya wateja wake. Na Selemani Kodima. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi…
8 October 2025, 12:37 pm
Mwenyekiti wa Kijiji Cha Muungano Matonya Mtukamsihi amesema zimekuwepo hatua za wananchi kuanzisha ujenzi wa shule ya sekondari lakini hazijafanikiwa kukamilika. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji Mzula na Chikanga Kata ya Muungano Wilaya ya Chamwino wameiomba serikali kutimiza azima…
8 October 2025, 11:54 am
Wameongeza kuwa Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani yanayosifika kwa utulivu na amani, hivyo ni jukumu la kila mmoja kulinda tunu hiyo muhimu kwa kushiriki uchaguzi kwa utulivu na bila viashiria vya vurugu. Na Victor Chigwada. Licha ya mijadala…
8 October 2025, 11:12 am
. Wameongeza kuwa mbali na visima hivyo lakini bado wamekuwa wakitumia muda mwingi kukaa kwenye foleni kwani visima hivyo havitoi maji yakutosha. Na Victor Chigwada. Wananchi Kijiji Cha Mjeloo, wilaya ya Chamwino wamesema kuwa pamoja na uhaba wa huduma ya…
8 October 2025, 10:23 am
Aidha, ripoti ya kimataifa ya mwaka 2023 kuhusu afya ya kinywa barani Afrika inaonyesha kuwa zaidi ya watoto 1 kati ya 10 katika baadhi ya maeneo ya Tanzania hupoteza maisha au hupata maambukizi makubwa kutokana na vitendo hivyo vinavyofanywa bila…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-