Dodoma FM

Ukatili unao wakabili watu wakati wa kampeni

27 October 2025, 3:55 pm

Je ni ukatili upi watu hupitia wakati wa kampeni za uchaguzi.Picha na Michuzi blog.

Leo tunaangazia ukatili unaowakabili watu wakati wa kampeni za kisiasa.

Na Seleman Kodima
Tunaungana na Anthony Makinda, kijana kutoka Chang’ombe, ambaye anasimulia ukatili alioupitia wakati wa kipindi cha kampeni.

Packeg ukatili.