Dodoma FM
Dodoma FM
27 May 2021, 2:53 pm
Na; Yussuph Hans. Kufuatia changamoto ya upatikanaji wa Ajira kwa Wahitimu Nchini, Serikali inaweka utaratibu mzuri ikiwemo mkakati wa ujenzi wa viwanda ambao utasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza changamoto hiy Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Waziri Mkuu wa…
27 May 2021, 2:32 pm
Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kushirikiana kwa karibu na Serikali katika vita dhidi ya ukatili wa kijinsia zikiwemo mimba kwa wanafunzi. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wanafunzi wa kike wa shule mbalimbali jijini hapa wamesema miongoni mwa sababu…
27 May 2021, 2:04 pm
Na;Mindi Joseph. Serikali imesema maendeleo ya viwanda na usatawi wa jamii hayawezi kuleta tija pasipo kuwa na usimamizi bora kwenye elimu ya ufundi kama kichocheo endelevu cha ukuaji wa uchumi nchini Tanzania. Akizungumza katika Ufunguzi kongamano la wadau wa elimu…
27 May 2021, 1:08 pm
Na ;Victor Chigwada Wakazi wa mtaa wa Nzuguni A Jijini Dodoma wamepata matumaini ya kupata huduma ya nishati ya umeme baada ya zoezi la usambazaji nguzo kupitia mradi wa REA kuanza katika eneo hilo. Baadhi ya wakazi wa eneo hilo…
26 May 2021, 1:24 pm
Na; Yussuph Hans Wananchi wa Kata ya Nzunguni Jijini Dodoma wamehakikishiwa ukarabati wa Barabara za Kata hiyo kwa kiwango cha Lami kwa mwaka huu, kufuatia changamoto ya ubovu wa barabara inayowakabili kwa muda mrefu. Hayo yamebainishwa na Meneja wa Wakala…
26 May 2021, 1:15 pm
Na; James Justine WATAALAMU kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), wamewashauri wakulima wa zao la muhogo kufuata ushauri wa kitaalam kwa ajili ya kupata mazao bora na yenye tija. Ushauri huo umetolewa na Mtafiti wa Mazao ya Mihogo…
26 May 2021, 1:07 pm
Na; Yussuph Hans Serikali Nchini inaendelea kuboresha Mifumo ya upatikanaji wa Pembejeo ikiwemo Mbegu, Mbolea na Viuatilifu, kuratibu katika Mikoa pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya makampuni kuuza maeneo mbalimbali. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu…
26 May 2021, 12:59 pm
Na; Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Farkwa Wilaya ya Chemba wanakabiliwa na changamoto ya uhafifu wa mawasiliano ya simu za mkononi kutokana na uhaba wa minara Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa wanalazika kutafuta…
26 May 2021, 12:50 pm
Na; Thadey Tesha Mtu mmoja ameuawa na ndugu zake wa karibu Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wakimtuhumu kujihusisha na vitendo vya wizi. Akizungumza na waandishi wa habari hii leo kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma SACP Gilles Muroto amemtaja marehemu kuwa ni…
26 May 2021, 12:45 pm
Na; Mindi Joseph Wakazi wa mtaa wa Zinje Kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwapelekea maji safi na salama ili kuokoa afya zao kutokana na kutumia maji wanayochimba kwenye korongo ambayo si safi na salama. Taswira ya habari imezungumza…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-