Dodoma FM
Dodoma FM
3 September 2021, 13:15
Na ;Victor Chigwada. Changamoto ya kukatika kwa umeme pamoja na uhafifu wa upatikana wa huduma hiyo katika Kata ya mkoka Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma umeelezwa kuchangia kushusha uchumi wa wananchi kwa ujumla. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya…
3 September 2021, 13:03
Na;Yussuph Hans. Wizara ya Afya Maendeleo ya jamii Jinsia Wazee na Watoto imesema inaendelea kuboresha suala la upatikanaji wa vyeti Kwa njia ya TEHAMA kwa waliopatiwa chanjo ya UVIKO-19 ambapo Hadi Sasa imewapatia Mafunzo watoa huduma zaidi ya 1994. Hayo yamebainishwa Jijini…
3 September 2021, 12:50
Na;Mariam Matundu. Inaelezwa kuwa Mkoa wa Dar es Salaam ni miongoni mwa Mikoa iliyogubikwa na mkinzano wa masuala ya kijamii ambapo tangu mwaka 2017 mashauri 7000 ya mirathi na mashauri 2000 ya migogoro ya ndoa yamefunguliwa. Wananchi wa Mkoa wa…
3 September 2021, 12:32
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kijiji cha Mloda Wilayani Chamwino umesema maisha ya wakazi wa kijiji hicho yameanza kubadilika baada ya kutatuliwa changamoto ya kisima cha maji ambayo imewatesa kwa muda mrefu. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti wa Kijiji…
2 September 2021, 14:24
Chanzo: Dawati Rais wa Jamhuri yamuungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inatarajia kujenga madarasa zaidi ya 500 kwa shule za msingi na sekondari Nchi nzima kupitia makato katika tozo mbalimbali. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo alipokuwa…
2 September 2021, 13:53
Na ; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya namna ya kujikinga na ugonjwa wa Uviko 19 pamoja na kuimarisha utoaji wa huduma za afya katika maeneo yote Nchini ili kukabiliana na ugonjwa huo. Kauli…
2 September 2021, 13:42
Na;Yussuph Hans. Inaelezwa kuwa moja ya sababu kubwa ya kupata chanjo ya UVIKO-19 ni kumuepusha mtu aliyechanjwa dhidi ya homa kali, pamoja na madhara yake pindi akiambukizwa virusi vya Korona. Hayo yamebainishwa na Mtaalamu kutoka kikosi kazi cha kitaifa cha…
2 September 2021, 08:22
Na. Edward Kondela Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki ameagiza kutafutwa mara moja kwa wataalamu wa mifugo waliotoa chanjo ya mifugo katika Kijiji cha Mlazo Kilichopo Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma, na kusababisha baadhi ya mifugo kufa na…
1 September 2021, 13:06
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wamepongeza hatua ya Serikali kufanyia marekebisho sheria mpya ya tozo za miamala huku wakiomba serikali kuendelea kuangalia namna ya kupata fedha za kuboresha huduma za kijamii Nchini. Wakizungumza na taswira ya habari kwa nyakati tofauti…
1 September 2021, 12:55
Na; Victor Chigwada. Licha ya jitihada za wananchi wa Kata ya Msanga Wilayani Chamwino katika kukabiliana na changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa wameiomba Serikali kuwaongezea nguvu ya ujenzi wa madarasa pamoja na walimu Baadhi ya wananchi hao wakizungumza…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-