Dodoma FM

Recent posts

4 October 2021, 13:34

Teknolojia yatajwa kukwamisha usomaji wa vitabu

Na; Thadei Tesha. Mwitikio wa jamii juu ya usomaji wa vitabu umeendelea kuwa wa wastani kutokana na ukosefu wa elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa kusoma vitabu hivyo ambapo kukua kwa teknolojia kukitajwa kuwa miongoni mwa visababishi. Wakizungumza na…

1 October 2021, 12:49

Wananchi watakiwa kuunga mkono juhudi za asasi zisizo za kiserikali

Na; Nadhiri Hamisi. Wito umetolewa kwa wananchi kuunga mkono juhudi za asasi zisizo za kiserikali kwa kufuata huduma zinazotolewa na asasi hizo ili kuleta maendeleo nchini. Hayo yameelezwa na Bwana Jacob kessy Mkurugenzi wa shirika la youth royal empowerment organization…

30 September 2021, 13:11

Watu 549 Mkoani Dodoma wapatiwa elimu ya Saikolojia

Na;Mindi Joseph. Watu 549 Mkoani Dodoma wamepatiwa elimu ya saikolojia kutokana na kukabiliwa na Tatizo la saikolojia ya Maisha ambayo inaendelea kuwakabili watu mbalimbali nchini. Kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia junuary hadi june mwaka huu 2021 watu 549 wamepatiwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger