Dodoma FM
Dodoma FM
23 June 2021, 11:52 am
Na; Yussuph Hans Serikali imesema inakamilisha mpango mkakati wa kutoa huduma ya mazoezi tiba nchini, kufuatia kuwepo kwa ongezeko la wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo ikiwemo walio na ugonjwa wa kupooza. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi…
23 June 2021, 11:34 am
Na; Benard Filbert Baadhi ya wanawake jijini Dodoma wamemshukuru rais Mh.Samia Suluhu Hassan kufuatia ongezeko la idadi ya wanawake ambao wameteuliwa hivi karibuni katika nafasi ya wakuu wa Wilaya nchini.Wakizungumza na taswira ya habari wanawake hao wamesema kitendo cha rais…
23 June 2021, 11:25 am
Na; Mindi Joseph Kuelekea siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya Tanzania imetajwa kufikia zaidi ya asilimia 90 ya udhibiti na kupambana na dawa hizo. Hii ni kwa mujibu wa Riporti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la…
22 June 2021, 1:58 pm
Na;Yussuph Hans. Serikali katika kuhakikisha wajasiriamali wadogo wanafanya biashara kwa uhuru, imesema inaendelea kuboresha vitambulisho vya wajasiriamali ambavyo hutolewa kwa kipindi cha mwaka mzima. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu na Naibu Waziri Ofisi…
22 June 2021, 1:46 pm
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Kikombo jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwakamilishia mradi wa umeme ambao ulianza tangu mwaka 2018 kwa kuwa baadhi ya maeneo bado hayajafikiwa na huduma hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakiwemo wa Mtaa wa Chololo…
22 June 2021, 1:27 pm
Na;Yussuph Hans. Mkuu wa Mkoa Dodoma Mh. Antony Mtaka amewataka wakuu wa wilaya aliowaapisha leo Jijini Dodoma kuhakikisha wanasimamia vyema Vipaumbele vya mkoa na kuleta mabadiliko Chanya. Akizungumza baada ya hafla ya uapisho wa Viongozi hao, Mh Mtaka amesema kuwa…
22 June 2021, 11:55 am
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuacha kusubiri ushauri katika suala la kutumia makundi matano ya vyakula na badala yake kujijengea tabia hiyo ili kuimarisha afya zao. wito huo umetolewa na wakazi wa kijiji cha Solowu wilayani Chamwino mkoani Dodoma wakati…
21 June 2021, 2:05 pm
Na; Yussuph Hans. Wakuu wa Mikoa walioapishwa hii leo wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ipasavyo huduma kwa wananchi katika maeneo wanayoenda kuyatumikia. Wito huo umetolewa na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa hii leo wakati rais Rais Mh.Samia…
21 June 2021, 11:03 am
Na; Benard Filbert. Changamoto ya miundombinu ya barabara katika kata ya Ovada wilayani Chemba imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo . Hayo yameelezwa na wakazi wa kata hiyo wakati wakizungumza na taswira ya habari ambapo wamesema kuwa ubovu…
21 June 2021, 10:24 am
Na; Yussuph Hans. Serikali imesema katika kuhakikisha watumishi waliostaafu wanapata mafao yao imetengeneza mifumo ya tehama kwa ajili ya kuwatambua wananchama wote pamoja na kulipa malimbikizo yaliyosalia. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-