Dodoma FM
Dodoma FM
4 October 2021, 13:34
Na; Thadei Tesha. Mwitikio wa jamii juu ya usomaji wa vitabu umeendelea kuwa wa wastani kutokana na ukosefu wa elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa kusoma vitabu hivyo ambapo kukua kwa teknolojia kukitajwa kuwa miongoni mwa visababishi. Wakizungumza na…
1 October 2021, 13:04
Na; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kutoa ushirikiano kwa taasisi zote za dini nchini zenye nia safi na thabiti katika kuhakikisha kuwa miradi mbalimbali ya kijamii na kiroho yenye manufaa kwa umma inafanikiwa. Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba mosi…
1 October 2021, 12:49
Na; Nadhiri Hamisi. Wito umetolewa kwa wananchi kuunga mkono juhudi za asasi zisizo za kiserikali kwa kufuata huduma zinazotolewa na asasi hizo ili kuleta maendeleo nchini. Hayo yameelezwa na Bwana Jacob kessy Mkurugenzi wa shirika la youth royal empowerment organization…
1 October 2021, 12:40
Na; Shani Nicolous. Ukosefu wa miundombinu rafiki yakujifunzia katika shule jumuishi nchini imetajwa kuwa changamoto hivyo kuathiri maendeleo ya watu wenye ulemavu. Akizungumza na Taswira ya habari mkurugenzi mtendaji wa kituo cha habari kuhusu walemavu ICD Fredrick Mkatambo amesema kuwa…
1 October 2021, 12:20
Mwandishi Mhindi Joseph. Mfumo Dume ni matokeo ya dhana za kurithi, imani za kidini, mila na tamaduni ambazo zinamkandamiza mwanamke katika uzalishaji wa mazao. Mchango wa wanawake katika uhakika wa upatikanaji wa chakula na lishe ni mkubwa kwani asilimia 72…
30 September 2021, 13:22
Na;Mariam Matundu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuzingatia Mipango na Vipaumbele vya Kitaifa katika kutekeleza majukumu na miradi mbalimbali ya maendeleoRais Samia amesema hayo jijini Dodoma wakati akizungumza na…
30 September 2021, 13:11
Na;Mindi Joseph. Watu 549 Mkoani Dodoma wamepatiwa elimu ya saikolojia kutokana na kukabiliwa na Tatizo la saikolojia ya Maisha ambayo inaendelea kuwakabili watu mbalimbali nchini. Kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia junuary hadi june mwaka huu 2021 watu 549 wamepatiwa…
30 September 2021, 12:59
Na; Alfred Bulahya. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt.Ashatu Kijaji amewataka Mameya,Wenyeviti na Wakurugenzi kuwashirikisha madiwani,watendaji wa kata vijiji na mitaa ili kuhakikisha kila eneo nchini linakuwa na anwani ya makazi. Amesema Wizara yake imejipanga kuhakikisha kuwa…
28 September 2021, 13:49
Na; Mariam Matundu. Serikali imesema inaendelea na utaratibu wa kujenga na kukarabati vyuo vya watu wenye ulemavu lengo ni kuwasaidia kupata elimu ili wajikwamue kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa hii leo Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu…
28 September 2021, 13:29
Na;Mindi Joseph . Mkoa wa Dodoma umetajwa kuwa miongoni mwa mikoa ambayo wanawake hawashirikishwi katika maamuzi ya familia kutokana na uwepo wa mfumo dume. Taswira ya habari imezungumza na Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Dodoma Bi.Honoratha Rwegasira amesema kuwa katika Mkoa wa Dodoma bado…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-