Dodoma FM
Dodoma FM
21 October 2021, 13:49
Na; Selemani Kodima. Serikali ya Tanzania imeendelea na juhudi zake za kuimarisha ushirikiano na nchi jirani ikiwemo Burundi ambapo pamoja na mambo mengine imekusudia kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo. Kufuatia ushirikiano huo Waziri wa kilimo Mhe…
21 October 2021, 12:30
Na; Shani Nicolous. Waendesha vyombo vya moto jijini Dodoma wametakiwa kufuata taratibu na kanuni za usalama barabarani ili kuepusha usumbufu wa adhabu zitakazolewa kisheria. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live rais wa jumuiya ya wananfunzi wanaosoma sheria…
21 October 2021, 12:07
Na; Fred Cheti. Ukosefu wa lishe bora kwa watoto nchini unatajwa kuwa chanzo cha kuongezeka kwa udumavu wa akili pamoja na ugonjwa wa utapiamlo jambo ambalo hupunguza uwezo wa kufanya vizuri shuleni pamoja na ufanisi katika maisha ya utu uzima.…
20 October 2021, 12:24
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Chigongwe Wilaya ya Dodoma mjini wamelalamikia ukosefu wa nyumba za walimu pamoja idadi ndogo ya walimu katika shule ya msingi Ngh’ambala Baadhi ya wananchi hao wakizungumza nataswira ya habari wamesema kuwa changamoto ni…
20 October 2021, 12:08
Na; Selemani Kodima. Waziri wa Kilimo Mh. Prof Adolf Mkenda ameendelea na Ziara yake nchini Burundia ambapo amefanya mazungumzo na Menejimenti ya kiwanda cha Mbolea cha FOMI ambacho kupitia kampuni yake ya ITRACOM imeanza ujenzi wa kiwanda cha mbolea Jijini…
20 October 2021, 11:28
Na; Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa kati ya Asilimia 78 hadi 80 ya wakazi wa Dodoma wanakabiliwa na matatizo mbalimbali ya macho ikiwemo uoni hafifu. Hayo yameelezwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Macho kutoka Hospitali ya Rufaa Dodoma, Dk. Msigaro Leah…
20 October 2021, 11:14
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kushirikiana na wasaidizi wa kisheria na serikali kuripoti makosa ya jinai yanapotokea kuliko kujichukulia sheria mkononi. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live msaidizi wa kisheria kutoka wilaya ya Bahi Daudi…
19 October 2021, 11:32
Na; Selemani Kodima. Licha ya kuchimbiwa visima vya maji ,Bado wananchi wa kijiji cha mkoka wilayani kongwa wamelalamika kuendelea kupata changamoto ya maji baridi. Akizungumza kwa Niaba ya Wananchi wa kijiji cha Mkoka Mwenyekiti wa kijiji cha Mkoka Bw Elia…
19 October 2021, 11:24
Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa elimu kwa familia imetajwa kuwa kikwazo kwa watoto wa kike kwani hushawishiwa na familia kufanya vibaya mitihani yao ya taifa ili waolewa na wazazi kuepuka kuwasomesha. Akizungumza na Taswira ya habari Denis Komba Mkuu wa idara…
19 October 2021, 11:10
Na; Shani Nicolaus. Imeelezwa kuwa Pamoja na elimu inayoendelea kutolewa kwa baadhi ya maeneo nchini juu ya chanjo ya uviko 19 lakini mwitikio wa kuchanja katika kata ya Zuzu umekuwa mdogo. Akizungungumza na Dodoma fm Diwana wa kata hiyo Mh.…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-