Dodoma FM

Recent posts

6 October 2025, 11:43 am

Vijana wahimizwa kujituma ili kuepukana na makundi

Aidha, amesema changamoto kubwa kwa vijana wengi wa sasa ni kutegemea wazazi wao badala ya kujituma na kupambana kwa ajili ya maisha yao, hali inayowadumaza kimaendeleo. Picha na Blog. Muhuri amesema ukosefu wa kipato umesababisha baadhi ya wasichana kujiingiza kwenye…

6 October 2025, 11:11 am

Chamwino kunufaika na huduma bora za afya ya uzazi

Picha ni Mganga Mkuu jiji la Dodoma Dkt. Pima Sebastian na wadau wakifungua jengo la mama na mtoto zahanati ya Chamwino. Picha na Lilian Leopold. Mradi huo ambao ulianza kutekelezwa mwaka 2018 na kukamilika mwezi Septemba 2025, umekuwa miongoni mwa…

3 October 2025, 11:22 am

Wakazi Chanhumba wahoji zoezi la urasimishaji ardhi

Licha ya elimu iliyotolewa mwanzoni mwa mpango huo lakini bado haikueleweka kwa wananchi wengi. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji cha Chanhumba Kata ya Handali Wilaya ya Chamwino wamesema imekuwa ni vigumu kupokea zoezi la urasimishaji wa ardhi kwa kuhofia…

3 October 2025, 10:51 am

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia maadili kazini

Picha ya pamoja ya watumishi wa umma na Naibu Katibu Mkuu Bi. Hilda Kabissa alipokuwa akifungua kikao kazi cha sita cha wadau wa usimamizi wa maadili ya kitaaluma na utendaji. Picha na Selemani Kodima. Hili linajiri baada ya Ofisi ya…

2 October 2025, 5:17 pm

Ushiriki wa wanawake katika siasa waendelea kuimarika

Picha ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Doroth Gwajima. Picha na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum. Katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katiba ya Tanzania imeweka…

2 October 2025, 4:23 pm

Pambano la ngumi kuanza rasmi Oktoba 18

Picha ni baadhi ya mabondia watakaoshiriki katika Kibaigwa vitasa mitano tena. Picha na Hamis Makila. Kwa mujibu wa mratibu, mabondia mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya mkoa wa Dodoma na nje yake wamethibitisha kushiriki. Na Hamis Makila. Kuelekea pambano la ngumi…

2 October 2025, 3:42 pm

Mikopo ya 10% yawakwamua vijana kiuchumi

Mikopo hiyo inawapa faida zaidi ikilinganishwa na mikopo mingine ya mtaani ambayo mara nyingi ina riba kubwa. Na VictorChigwada. Vijana wa Kata ya Msamalo, Wilaya ya Chamwino, wameipongeza serikali kwa kujali kundi la vijana, wanawake, na watu wenye ulemavu kwa…

2 October 2025, 1:23 pm

Vikundi vyaelimishwa matumizi ya NeST, Dodoma

Kupitia mfumo wa NeST, vikundi vya kijamii sasa vinaweza kushiriki kikamilifu katika manunuzi ya serikali kupitia usajili mtandaoni, kuomba zabuni, na kufuatilia hatua za maombi yao. Na Lilian Leopold . Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanya kikao na vikundi mbalimbali…

2 October 2025, 11:05 am

Wakazi Mjelo waomba suluhisho la kisima cha maji

Hali hiyo inatokea zaidi ya miaka mitano tangu kuanzishwa kwa mradi mkubwa wa kisima cha maji, ambao ulitarajiwa kumaliza tatizo la uhaba wa maji safi na salama katika vijiji vya kata hiyo. Picha na RUWASA. Wameeleza kuwa hali hii imeendelea…

1 October 2025, 5:40 pm

Ratiba ya ligi ya mkoa kwa mwaka 2025/2026 yawekwa wazi

Ligi hiyo ambayo hufanyika kila mwaka inalenga kuinua vipaji vya wachezaji chipukizi pamoja na kuongeza hamasa ya michezo katika jamii ya Dodoma. Picha na Hamis Makila. Hadi hivi sasa imechezwa michezo miwili na ligi inatajaria kuendelea Oktoba 04 na 05.…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger