Dodoma FM

Recent posts

24 March 2023, 4:19 pm

Wakazi wa Ndogowe walazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya afya

Kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika zahanati ya kijiji cha Ndogowe imesababisha wananchi kutopata huduma ya afya hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika…

24 March 2023, 1:15 pm

Viongozi watakiwa kusimamia ipasavyo miradi ya serikali

Bi Fatma Mganga amekabidhi ofisi hiyo baada ya kuhamishwa kwenda kuwa Katibu tawala mkoani Singida. Na Alfred Bulahya. Aliyekuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bi, Fatma Mganga, amekabidhi ofisi kwa katibu Tawala mpya  Bw. Ally Gugu. Katika makabidhiano hayo…

23 March 2023, 6:41 pm

Usichojua kuhusu Mtaa maarufu wa Mathius Dodoma

Mtaa wa Mathius ni moja ya mtaa wenye miaka mingi jijini Dodoma, Jina la mtaa wa Mathius limetokana na mzee mathius mwenye asili ya kabila la kigogo fahamu historia yake ikiwa ni mtaa maarufu sana jijini humo. Na Martha Mgaya.…

23 March 2023, 5:36 pm

Machinga Dodoma wampongeza Rais Samia

Ni mkutano uliowakutanisha wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama machinga ambapo awali ulitanguliwa na maandamano ya amani kwa ajili ya kumshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kutimiza miaka miwili madarakani. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa biashara ndogondogo maarufu…

22 March 2023, 7:23 pm

Wananchi Bahi waomba kupunguziwa gharama za kuunganishiwa umeme

Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani. Na Benard Magawa. Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani kutoka…

22 March 2023, 7:02 pm

Vijana waomba viongozi kutembelea maeneo yao ya kazi

Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kuponda kokoto katika mtaa wa kisasa Dodoma wametoa ushauri kwa viongozi mbalimbali kutembelea maeneo yao ya kazi. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kuponda kokoto katika mtaa wa kisasa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger