Dodoma FM
Dodoma FM
24 March 2023, 4:19 pm
Kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika zahanati ya kijiji cha Ndogowe imesababisha wananchi kutopata huduma ya afya hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika…
24 March 2023, 2:40 pm
Amewataka wananchi hao kuendelea kuwaona wataalamu wa mikopo na Wachumi kwaajili ya kupata elimu zaidi kuhusu mikopo. Na Fred Cheti. Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Mhe. Sophia Kizigo amewataka vijana,wanawake na wenye ulemavu kuendelea kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia…
24 March 2023, 1:15 pm
Bi Fatma Mganga amekabidhi ofisi hiyo baada ya kuhamishwa kwenda kuwa Katibu tawala mkoani Singida. Na Alfred Bulahya. Aliyekuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bi, Fatma Mganga, amekabidhi ofisi kwa katibu Tawala mpya Bw. Ally Gugu. Katika makabidhiano hayo…
23 March 2023, 6:41 pm
Mtaa wa Mathius ni moja ya mtaa wenye miaka mingi jijini Dodoma, Jina la mtaa wa Mathius limetokana na mzee mathius mwenye asili ya kabila la kigogo fahamu historia yake ikiwa ni mtaa maarufu sana jijini humo. Na Martha Mgaya.…
23 March 2023, 5:36 pm
Ni mkutano uliowakutanisha wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama machinga ambapo awali ulitanguliwa na maandamano ya amani kwa ajili ya kumshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kutimiza miaka miwili madarakani. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa biashara ndogondogo maarufu…
23 March 2023, 12:29 pm
Mkakati huo utasaidia kupunguza adha ya madawati inayo zikabili shule nyingi jijini Dodoma Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kutengeneza madawati na kuyagawa kwa shule zote za serikali za Msingi na Sekondari zilizopo jijini hapa ili kupunguza…
23 March 2023, 11:26 am
Itakumbukwa kuwa siku ya kimataifa ya msichana katika TEHAMA inaadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 27 April lengo likiwa ni kuchochea harakati za dunia katika kuongeza idadi ya wasichana na wanawake kwenye nyanja ya teknolojia. Na Mariam Matundu. Katika kuelekea siku…
22 March 2023, 7:23 pm
Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani. Na Benard Magawa. Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani kutoka…
22 March 2023, 7:02 pm
Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kuponda kokoto katika mtaa wa kisasa Dodoma wametoa ushauri kwa viongozi mbalimbali kutembelea maeneo yao ya kazi. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kuponda kokoto katika mtaa wa kisasa…
22 March 2023, 6:54 pm
Tanzania ilishuhudia kipindi kirefu cha mlipuko wa Kipindupindu kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018 na Taarifa kutoka shirika la Afya Dunia inaeleza kuwa na mlipuko mkubwa wa Kipindupindu nchini Malawi ambapo hadi kufikia tarehe 15 Machi 2023 kulikuwa na jumla…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-