Dodoma FM
Dodoma FM
8 April 2021, 10:00 am
Na ; Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo ameupa uongozi wa machinjio ya kisasa ya Kizota jijini Dodoma miezi sita kurekebisha changamoto ya utiririshaji wa majitaka ovyo. Jafo ametoa agizo…
8 April 2021, 9:28 am
Na; Mariam Matundu Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya kuwepo kwa vifungashio visivyokidhi viwango vya ubora sokoni ,vifungashio vipya vinavyokidhi viwango vya ubora tayari vimeanza kupatikana sokoni. Hayo yamezungumzwa na Afisa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais muungano…
7 April 2021, 1:28 pm
Na; Mindi Joseph Wakazi Mkoani Dodoma wamesema kupitia Hotuba ya Mh Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan aliyoitoa jana wakati akiapisha viongozi mbalimbali wa kiserikali imewapa faraja na matumaini makubwa katika kutetea haki za wanyonge na…
7 April 2021, 1:09 pm
Na; Mariam Matundu Ikiwa leo ni kumbukumbu ya kifo cha rais wa awamu ya kwanza wa Zanzibar hayati Abedi Amani Karume, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan ameshiriki dua maalum ya kumuombea iliyofanyika visiwani humo. Katika…
7 April 2021, 10:09 am
Na; Shani Nicolous Katibu wa Soko la Sabasaba jijini Dodoma Bw.Isaka Nyamsuka amesema kuwa wamejipanga vyema kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wafanyabiashara. Bw.Nyamsuka amesema kuwa tayari wameanza kuyatekeleza baadhi ya majukumu ikiwepo kusimamia usafi na kupanua baadhi ya…
7 April 2021, 9:03 am
Na ; Suleiman Kodima. Wananchi wa kijiji cha Nagulo Bahi kata ya Bahi wameupongeza Uongozi wa kata hiyo kwa hatua ya kukamilisha Ujenzi wa Sekondari na hatimaye wanafunzi kuanza Masomo Rasmi. Wakizungumza na Taswira ya Habari wananchi hao wamesema kuwa…
7 April 2021, 5:42 am
Na; Mariam Kasawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan jana tarehe 06 Aprili, 2021 aliwasili Zanzibar akitokea Jijini Dar es Salaam ambapo atahudhuria maadhimisho ya Siku ya Mashujaa (Karume Day) itakayofanyika katika Ofisi Kuu ya…
6 April 2021, 1:54 pm
Na Suleiman Kodima Naibu waziri ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amesema Serikali inatambua uhitaji wa wahudumu wa afya , Vifaa tiba na Gari la kubebea wagonjwa katika Hospitali ya Uhuru hivyo wanategemea suala hilo Kuwa sehemu ya Utekelezaji…
6 April 2021, 12:52 pm
Na; Mariam Matundu. Barabara ya Makanda Kintinku iliyokuwa imepoteza mawasiliano tangu mwezi decemba mwaka jana imeanza kufanyiwa ukarabati ambapo hatua mbalimbali za awali zinaendelea. Akizungumza na tawsira ya habari manager wa Tarura wilaya ya Manyoni bw. Yose Mushi amesema zoezi…
6 April 2021, 12:36 pm
Na; Benald Flbert Baada ya hivi karibuni Dodoma fm kuripoti taarifa kuhusu ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya Kata ya Matumburu, shirika la umeme TANESCOMkoa wa Dodoma limeanza kusambaza nguzo kwa ajili ya kuwaunganishia huduma hiyo.…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-