Dodoma FM
Dodoma FM
25 June 2021, 2:07 pm
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Iyumbu jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa kusimamia ipasavyo utatuzi wa migogoro ya ardhi. Baadhi ya wanachi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema tangu Diwani wa Kaya yao alipoingia madarakani ameshirikiana na wananchi…
25 June 2021, 1:49 pm
Na; FRED CHETI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani leo June 25 amewataka viongozi wa dini nchini kuendeleza mapambano dhidi ya janga la Corona. Akizungumza wakati akihutubia baraza la Maaskofu wa jimbo katoliki Tanzania jijini…
25 June 2021, 1:35 pm
Na; Benard Filbert. Kamishna msaidizi wa kinga na huduma za jamii kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Bi.Moza Makumburi amezipongeza asasi mbalimbali za kiraia zinazoshirikiana na Serikali kuzuia matumizi na biashara hiyo nchini. Akizungumza na Dodoma…
25 June 2021, 1:24 pm
Na;Yussuph Hans. Serikali imesema katika kuhakikisha wazee wanapata huduma bora ya matibabu, inaendeleza zoezi la utambuzi na kuwapatia vitambulisho ambapo mpaka kufikia Machi 2020/2021 Asimilia 87 ya makadirio ya Wazee wote nchini wamepatiwa Vitambulisho hivyo. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini…
25 June 2021, 1:13 pm
Na; Rabiamen Shoo. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) imeandaa mkutano wa kupokea maoni kutoka kwa wadau wa elimu kuhusu uboreshwaji wa Mitaala ya Ngazi ya Elimu ya Awali,Msingi na Sekondari. Mkutano huo unatarajiwa…
24 June 2021, 1:44 pm
Na;Mindi Joseph. Wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii jinsia,wazee na Watoto kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo,imezindua mpango mkakati wa miaka mitano utakaogharimu Tsh.Trilioni 9.4 kila mwaka. Akizungumza katika uzinduzi mkakati huo leo Juni, 24,2021 Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii…
24 June 2021, 10:53 am
Na; Benard Filbert. Uongozi wa kata ya Mlowa bwawani hii leo unataraji kukutana na wananchi wa eneo hilo ili kuwapatia elimu pamoja na kuwahimizi kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vinavyo sababisha homa ya mapafu. Hayo yameelezwa na diwani wa kata…
24 June 2021, 10:24 am
Na; Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Majeleko Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuwapelekea huduma ya maji safi na salama. Wakizungumza na taswira ya habari wakazi hao wamesema wanakabiliwa na tatizo la maji kwa muda mrefu sasa hali inayo walazimu akina…
24 June 2021, 9:38 am
Na; Mindi Joseph . Katika kuhitimisha wiki ya utumishi wa umma mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) imetoa msaada wa mashuka 431 kwa vituo vinne vya afya jijini Dodoma kwa lengo la kusaidia kuboresha huduma za…
24 June 2021, 8:15 am
Na; Victor chigwada Wananchi wa mtaa wa Chololo Kata ya Kikombo jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwatatulia changamoto ya uhaba wa watumishi kwenye zahanati na Shule ya msingi.Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema pamoja na kupaza sauti…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-