

19 December 2020, 7:20 am
Dar es Salaama. KIUNGO mkabaji wa Klabu ya Yanga Abdulaziz Makame yupo kwenye mpango wa kutua kwa mkopo ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania. Taarifa zinadai kuwa mpaka sasa ni timu mbili zinahitaji kupata huduma yake ikiwa ni Polisi Tanzania …
18 December 2020, 3:52 pm
Na, Benard Filbert, Dodoma. Ili kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Matumbulu Mkoani Dodoma Serikali imeelekeza nguvu zake katika kutatua adha hiyo ili kuleta unafuu kwa wananchi.Akizungumza na taswira ya habari afisa mtendaji wa Kata hiyo…
18 December 2020, 3:41 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imewataka maafisa mazingira wa Mikoa yote Nchini kuhakikisha Halmshauri zote zilizopo katika Mikoa yao zinapanda miti milioni moja na laki tano kila mwaka ili kuhifadhi mazingira kwa vizazi vya sasa na vijavyo.Akizungumza na Waandishi wa habari…
17 December 2020, 2:28 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo amewaagiza viongozi wa mikoa kwa kushirikiana na wadau wa elimu kuhakikisha wanakamilisha miundombinu ili wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza waweze kuripoti shule mapema Januari mwaka 2021.Waziri Jafo ameyasema hayo leo…
16 December 2020, 3:06 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Idadi ya vyoo bora nchini imeongezeka kutoka asilimia 62.4 kwa mwaka 2019 hadi asilimia 64 kwa mwaka 2020. Hali hii imechangiwa na usimamizi bora uliofanyika kupitia kampeni ya nyumba ni Choo ambayo inafanyika nchi Nzima kwa lengo…
16 December 2020, 2:16 pm
Na,Fred Cheti, Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli hii leo ameongoza kikao cha kwanza cha Baraza jipya la Mawaziri aliowateua hivi karibuni.Kikao hicho kimefanyika leo Disemba 16 katika ikulu ya chamwino jijini Dodoma na…
15 December 2020, 10:26 am
Lilongwe, Malawi. Waziri wa usalama wa ndani wa Malawi , Richard Banda, amesaini nyaraka kwa ajili ya mchungaji tajiri na maarufu Shepherd Bushiri na mke wake, Mary kurudishwa nchini Afrika Kusini. Hii inafuatia ombi la mahakama ya nchi jirani ya…
14 December 2020, 3:26 pm
Abuja, Nigeria. Gavana wa Jimbo la Katsina la Nigeria Aminu Masari amesema, wanafunzi 333 bado hawajulikani walipo baada ya shambulizi lililofanywa usiku wa Ijumaa na watu wenye silaha katika shule moja ya sekondari katika jimboni Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.…
14 December 2020, 2:56 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Utabiri wa hali ya hewa nchini umetajwa kuwasaidia wakulima katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi yanayojitokeza katika msimu wa Kilimo.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wakulima katika kata ya Hombolo jijini Dodoma wamesema kuwa utabiri huo…
14 December 2020, 2:40 pm
Na Thadey Tesha, Dodoma. Wadau wa kilimo nchini wameshauriwa kuwa na mazoea ya kuwatembelea wakulima mara kwa mara kwa lengo la kuwapa elimu ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa chakula nchini.Hayo yamesemwa na afisa kilimo wa Mkoa wa Dodoma Bw.Benard…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-