Dodoma FM

Recent posts

27 October 2025, 3:55 pm

Ukatili unao wakabili watu wakati wa kampeni

Leo tunaangazia ukatili unaowakabili watu wakati wa kampeni za kisiasa. Na Seleman KodimaTunaungana na Anthony Makinda, kijana kutoka Chang’ombe, ambaye anasimulia ukatili alioupitia wakati wa kipindi cha kampeni.

27 October 2025, 3:40 pm

Migogoro ya ardhi na ndoa yavuruga maendeleo Mpwayungu

Wameiomba Serikali kupeleka wataalamu wa masuala ya kijinsia kutoa elimu kwa wanandoa, pamoja na wataalamu wa ardhi, ili kupunguza migogoro ya mara kwa mara. Na Victor Chigwada.Wananchi wa Kijiji cha Mpwayungu, jijini Dodoma, wametakiwa kuachana na migogoro ya ardhi na…

27 October 2025, 3:20 pm

Shekimweri awahakikishia wananchi usalama umeimarishwa

Kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Uchaguzi (NEC), uchaguzi mkuu utafanyika Oktoba 29, 2025, ambapo wananchi kote nchini watapata nafasi ya kuchagua viongozi wao katika ngazi ya Urais, Ubunge na Udiwani. Na Lilian Leopold.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…

24 October 2025, 3:16 pm

Sauti ya tiba sehemu ya nane

Karibu uendelee kusikiliza mfululizo wa igizo la sauti ya tiba kupitia Dodoma fm na leo tupo sehemu ya nane karibu uweze kuburudika na kujifunza mambo mbalimbali.

24 October 2025, 3:00 pm

Mitandao ya kijamii nyenzo muhimu katika kujifunza mambo mapya

Mitandao ya kijamii wameweza imewezesha kujifunza mambo mbalimbali, kupata taarifa na kufanya biashara kupitia mitandaoni. Na Anwary Shaban.Wananchi wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kama fursa ya kukuza uchumi, kuongeza maarifa, na kuboresha shughuli zao za kila siku badala ya kuitumia…

24 October 2025, 12:11 pm

Mitazamo hasi kikwazo kwa wanawake katika uchaguzi

Vikwazo vya kijamii na kifamilia,Familia na jamii huweza kuwa kizuizi kwa wanawake kwa kuwataka waendelee na majukumu ya nyumbani badala ya kujihusisha na siasa.Wanawake hupewa majukumu ya malezi na kazi za nyumbani, jambo linalopunguza muda na rasilimali za kushiriki kampeni.…

23 October 2025, 5:07 pm

Kukatisha safari za daladala kabla ya kufika mwisho ni kosa kisheria

Sajenti Ester amesema kitendo cha madereva kukatisha ruti bila sababu za msingi ni ukiukwaji wa sheria za usafirishaji wa abiria. Imeelezwa kuwa kitendo cha baadhi ya madereva wa usafiri wa daladala Jijini Dodoma kukatisha safari zao kabla ya kufika mwisho…

23 October 2025, 4:06 pm

Hofu ya kukosa daraja yawakumba wakazi wa majeleko

Changamoto hiyo imekuwa ikiathiri shughuli za wananchi hao kutokana na maji hayo kudumu kwa muda bila ya kupungua. Na Victor Chigwada. Kuelekea katika msimu wa masika, wananchi wa kijiji cha Majeleko Wilayani Chamwino mkoani Dodoma wameonyesha kuwa na hofu kutokana…

23 October 2025, 3:38 pm

Muendelezo wa igizo la sauti ya tiba

Karibu katika igizo la sauti ya tiba uendelee kuburudika na kujifunza kupitia igizo linalo kujia kupitia Dodoma fm radio.

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger