Dodoma FM

Recent posts

5 November 2025, 4:35 pm

Johari aapishwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali

Johari ameapishwa baada ya kuteuliwa na Rais Samia Novemba 3, 2025, saa chache baada ya Samia kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Na Yussuph HassanRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Johari ameapishwa…

5 November 2025, 4:17 pm

Kutokujituma kunaweza kupelekea tatizo la afya ya akili

Aidha Mtahu ameshauri vijana kujituma katika umri wao kwani wakati huo hukutana na watu wengi ambao wangeweza kuwasaidia kutokana na nguvu kazi waliyo kuwanayo. Na Farashuu Abdalah. Vijana wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza hapo baadae…

5 November 2025, 3:37 pm

Ukosefu wa maadili ya dini kwa vijana ni hatari kwa Taifa

Wazazi wana jukumu la kuwapeleka watoto wao kuhudhuria madarasa ya dini ili kujenga jamii yenye hofu ya Mungu. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa maadili ya kidini kwa watoto na vijana kunaweza kuhatarisha usalama wa jamii na hata Taifa…

4 November 2025, 3:00 pm

Huduma na shughuli mbalimbali zarejea Dodoma

Hali imeendelea kuimarika katika jiji la Dodoma na wananchi wameendelea na shughuli zao kama kawaida huku huduma za usafiri zikirejea , maduka yaliyo kuwa yamefungwa yakifunguliwa. Na Mariam Kasawa.Baada ya serikali hapo jana kuruhusu shughuli za kijamii katika maeneo mbalimbali…

28 October 2025, 3:56 pm

Changamoto jamhuri zakatisha mchezo kati ya Dodoma jiji na

Changamoto hizo zinatajwa kupelekea mchezo huo kuto kukamilika. Hamis makila amezungumza na meneja uwanja wa Jamhuri Bw. Hussein Mhando ambapo ameeleza changamoto zilizo tokea hadi kupelekea taa kusumbua uwanjani hapo na kupelekea mchezo huo kukatishwa.

28 October 2025, 3:24 pm

INEC yasisitiza maandalizi ya uchaguzi yamekamilika

Katika taarifa yake, Jaji Mwambegele ametoa maelekezo 10 muhimu ambayo wapiga kura wote wanapaswa kuyazingatia siku ya uchaguzi. Na Lilian Leopold.Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa maelekezo 10 kwa wapiga kura na wadau wote wa uchaguzi kuelekea Uchaguzi…

28 October 2025, 3:05 pm

Jeshi la Polisi lajipanga kuhakikisha amani na usalama uchaguzi

Jeshi la Polisi limewataka wananchi, vyama vya siasa na wadau wote wa uchaguzi kushirikiaa na vyombo vya usalama ili kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unafanyika kwa amani, utulivu na uwazi. Na Anwary Shaban.Jeshi la Polisi mkoani limetoa tamko kuelekea uchaguzi mkuu…

28 October 2025, 2:48 pm

Vikwazo vinavyowakumba wanawake katika kugombea nafasi za uongozi

Mitazamo hasi na kutoaminiwa na jamii ni baadhi ya vikwazo vinavyo wakumba wanawake. Na Mariam Matundu.Moja ya vikwazo wanavyo kutana navyo wanawake katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa ni mitazamo hasi ya kutokuaminiwa na jamii kutokana na mila…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger