Dodoma FM
Dodoma FM
4 December 2020, 10:33 am
Bangui, C.A.R. Mahakama ya Katiba imethibitisha uamuzi wa Tume huru ya uchaguzi nchini humo kuwa rais wa zamani wa nchi hiyo François Bozizé , hana nafasi ya kuwania urais katika uchaguzi wa Desemba 27 nchini humo. François Bozizé anashtumiwa kwa…
4 December 2020, 9:43 am
Manchester, England. Gwiji wa Manchester United Gary Neville ametoa wito kwa chama cha soka England FA kutoa mafunzo maalum kwa wachezaji wanaohamia kucheza katika klabu mbalimbali za ligi kuu ya primia huku akilaumu chama hicho kwa kutofanya hivyo. Kauli ya…
4 December 2020, 8:25 am
Kocha Msaidizi wa Dodoma Jiji FC Renatus Shija amesema watatumia dirisha dogo la usajili kuboresha baadhi ya nafasi katika kikosi chao ambazo zimeonekana kupwaya. Shija ambaye timu yake itashuka dimbani hii leo kuvaana na KMC Fc katika dimba la Uhuru…
4 December 2020, 8:07 am
Barcelona, Hispania. Rais wa mpito wa klabu ya Barcelona Carlos Tusquets ameonya kuwa hali ya kifedha kwa sasa ni mbaya na inatia wasiwasi. Kiongozi huyo aliyechukua mahala pa Josep Maria Bartomeu aliyejiuzulu mwezi Oktoba amesema klabu inapaswa ingekuwa imemuuza Messi.…
3 December 2020, 3:31 pm
Na,Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Mkalama ‘A’ jijini Dodoma ENOCK JOHN [24] leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma kwa shitaka la kukutwa na madawa ya kulevya.Akisomewa shitaka lake mbele ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma…
3 December 2020, 3:18 pm
Na Alfred Bulahya, Dodoma. Tume ya haki za binadamu na utawala bora (THBUB) imewataka wananchi kuachana na mila,desturi pamoja na mitazamo potofu ambayo huwafanya watu wenye ulemavu kuvunjika moyo na kujiona hawana mchango kwa jamii.Hayo yamebainishwa leo jijini Dodoma na…
3 December 2020, 2:56 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Sekta ya kilimo ,viwanda na miundombinu zimetajwa kuwa na ufanisi wa kutosha katika kuondoa umasikini na njaa ukilinganisha na sekta zingine za kiuchumi hapa nchini.Kauli hiyo imetolewa na waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda wakati akihutubia katika mkutano…
2 December 2020, 10:51 am
Dar es Salaam. Meneja wa mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu ya Yanga SC,injinia Hersi Said akiambatana na kamati ya Mabadiliko ya Yanga, leo Jumatano Desemba. 2, 2020 wamekabidhi rasimu ya awali ya mchakato wa mabadiliko kwa…
2 December 2020, 9:56 am
Na Benard Filbert, Dodoma. Kufuatia kunyesha kwa mvua za wastani mwaka huu wakulima Mkoani Dodoma wamehimizwa kutumia mbegu zinazokomaa kwa muda mfupi hali itakayowasaidia kuepuka kupata mavuno hafifu. Wito huo umetolewa na mkuu wa idara ya kilimo kutoka Mji wa…
2 December 2020, 8:38 am
Na Selemani Kodima Dodoma. Ushirikiano wa wananchi na Uongozi wa Kijiji cha Sejeli Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma umetajwa kama njia inayoweza kukomesha uharibifu wa mazingira hususani ukataji wa Miti hovyo. Hayo yanajiri baada ya hivi karibuni Uongozi wa Kijiji…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-