Dodoma FM
Dodoma FM
8 Agosti 2024, 17:22
Ni aina gani ya nafaka hutumiwa zaidi na wakazi wa eneo hili katika chakula na wanapotengeneza pombe za kienyeji? Na Yussuph Hassan.Bado tupo katika kata ya Kingale na leo mwenyeji wetu anatueleza chakula cha asili kinachotumiwa na kabila hili la…
8 Agosti 2024, 17:01
Mariam Matundu ametembelea katika kata ya Mbabala na kuzungumza na Lilian Masunga mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Mbabala. Na Mariam Matundu.Leo tunaangazia namna ambavyo mazingira rafiki ya wasichana kupata elimu yanasaidia kupunguza mimba za utotoni .…
8 Agosti 2024, 16:43
Shirika la Justdiggit ambalo kwa Tanzania linashirikiana na Lead Foundation limeanzisha Application hiyo lengo likiwa kutoa elimu bure ili kuwanufaisha wakulima wadogowadogo takribani milioni 350 katika ukanda wa kusini mwa Jangwa la Sahara. Na Selemani Kodima. Takriban wakulima wadogo milioni…
8 Agosti 2024, 16:22
Afisa Lishe wa Halmashauri ya jiji la Dodoma Bi. Seminieva Juma akizungumzia juu umuhimu wa kunyonyesha. Na Seleman Kodima.Ikiwa jana ni kilele cha maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani yalioanza tangu Agosti mosi, akina mama wanaonyonyesha watoto wametakiwa kuheshimu muda…
7 Agosti 2024, 19:10
Nini kinachowakwamisha vijana kujikita katika Sekta ya Ufugaji? Na Fred Cheti.Vijana na Wanawake wametakiwa kuzigeukia fursa za Ufugaji na Uvuvi kupitia mitaji wanayopata badala ya Biashara pekee ili waweze kujikwamua kiuchumi wao na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mkuu…
7 Agosti 2024, 18:47
Ngoma hii haiwezi kuchezwa kama mwanamke bado hajapata ujauzito. Na Yussuph Hassan. Yussuph amezungumza na mzee wa eneo hili la Kingale na hapa anaeleza maandalizi ya ngoma hii ya mambala inayochezwa na kabila la warangi hususani mama anapokuwa mjamzito na…
7 Agosti 2024, 18:36
Mnamo July 16 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu alizindua mradi wa vihenge vya kisasa na maghala ya kuhifadhia chakula ambapo aliagiza kuongezwa kwa vihenge vingine. Na Mariam Kasawa.Serikali imeendelea kuwajali wakulima kwa kuhakikisha inajenga…
7 Agosti 2024, 18:19
Wizara imeanzisha Kampeni maalumu kwa ajili ya kumsaidia Mwanamke katika umiliki wa Ardhi. Na Fred Cheti.Inaelezwa kuwa Ardhi iliyopangwa, kurasimishwa na kupimwa vizuri inasaidia kwa kiwango kikubwa kuleta maendeleo kwa Wananchi kutokana na kuruhusu shughuli za kiuchumi ndani ya Miji…
7 Agosti 2024, 18:00
Shirika la Kilimo Hai Tanzania Toam lenye makao yake makuu Jijini Dare s salaam limefanikiwa kufungua matawi yake katika maeneo mbalimbali Nchini ikiwemo Mkoa wa Dodoma. Na Shangwe.Shirika la Kilimo Hai Tanzania Toam limeanzisha mkakati wa Kilimo ikolojia Hai Tanzania…
6 Agosti 2024, 18:32
Miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na yale ambayo yametengwa kwa ajili ya shughuli za Kijamii, kama Shule na huduma nyinginezo ikiwemo Soko. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Mpamaa Mkoani Dodoma wameshagazwa kwa kitendo cha Mamlaka ya Jiji kugawa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-