Dodoma FM
Dodoma FM
13 Agosti 2024, 16:23
Kutokana hali hiyo Taswira ya Habari leo tunawatazama Vijana ambapo ni Wahanga wa ukosefu wa elimu hii . Na Seleman Kodima.Ukosefu wa Elimu ya afya ya uzazi imekuwa ikitajwa kama sababu ya kuongezeka kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika…
13 Agosti 2024, 16:03
Pamoja na maendeleo makubwa yaliyofanyika kwenye kijiji hicho bado wana uhaba wa huduma ya soko. Na Kadala Komba.Wananchi wa Kijiji cha Bahi Sokoni Wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameipongeza Serikali kwa hatua ya kuwasogezea huduma muhimu za kijamii ikiwemo maji na…
13 Agosti 2024, 15:47
Zaidi ya vijana 110 kutoka mradi wa BBT chinangali wamenufaika na mikopo ya uendeshaji wa shughuli hiyo ya kilimo wenye thamani zaidi ya milioni 900 huku zaidi ya hekari 600 zikiwa tayari zimeshalimwa zao la alizeti. Na Victor Chigwada.Vijana wanufaikaji…
13 Agosti 2024, 15:23
Watu Wawili wilayani Bahi wameuwawa baada ya kushambuliwa sehemu mbalimbali na kuchomwa moto katika gari . Na Seleman Kodima.Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia RAPHAEL KENETH NDAMAHNUWA, mwenye umri wa miaka 26 Mkazi wa Nzuguni B kwa ajili ya…
12 Agosti 2024, 16:57
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), sumu kuvu huharibu karibu asilimia 25 au zaidi ya chakula kinachozalishwa duniani kila mwaka. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa sumu kuvu ina athari kwa afya za wananchi na uchumi kwa ujumla kama wakulima…
12 Agosti 2024, 16:42
Ni changamoto ipi inapelekea jamii hasa vijana kutojiingiza katika sekta ya mifugo na uvuvi. Na Fred Cheti.Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanzisha dawati la sekta binafsi kwa lengo kuangalia changamoto inayokwamisha jamii wakiwemo vijana kujihusisha na shughuli ya…
12 Agosti 2024, 16:19
Kwa mujibu wa Sheria ya Kazi na Ajira ya mwaka 2004 kifungu cha 33 (10) kinatoa haki kwa mama aliyejifungua kwenda kunyonyesha mtoto saa 2 hadi miezi sita baada ya kutoka likizo ya uzazi kulingana na makubaliano na waajiri. Na…
12 Agosti 2024, 15:51
Shirika la Kazi Duniani, ILO linasema licha ya uzalishaji mkubwa wa taka hizo za kielektroniki ni asilimia 20 tu ya tani hizo za kielektroniki ndio hurejelezwa katika mazingira rasmi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa taka za kieletroniki zinazo zalishwa na kutupwa…
12 Agosti 2024, 15:37
Mzee Rofati anasema kazi hii ya utengenezaji wa kofia aliirithi kutoka kwa wake walio kuwa wanatengeneza hapo zamani. Na Yussuph Hassan.Leo katika kipindi cha Fahari ya Dodoma tunazungumzia umaarufu wa kofia zinazotengenezwa kwa mkono tangu miaka ya 50, kofia hizi…
8 Agosti 2024, 17:37
Wakazi wa Dodoma wameipongeza halmashauri kwa hatua hiyo. Na Fred Cheti.Halamshauri ya jiji la Dodoma imeweza kuvuka lengo la ukusanyaji mapato ya ndani kwa mwaka ulioisha kwa asilimia 103 ambapo ilipanga kukusanya na kunitumia shilingi 123.8 badala yake imeweza kukusanya…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-