Dodoma FM

Recent posts

15 Agosti 2024, 17:58

Mwenyekiti baraza la vyama vya siasa azungumzia kazi ya baraza hilo

Khatibu amesema kitendo cha kuhudhuria viongozi na wajumbe wa baraza katika tukio hilo ni ishara wapo tayari kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Na Seleman Kodima.Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Juma Ali Khatibu amesema kazi kubwa…

15 Agosti 2024, 17:44

Wakazi Mchito watatuliwa kero ya maji

Baadhi ya wananchi hao wametoa shukrani zao za dhati kwa shirika hilo kwani kupitia msaada wa kisima kirefu cha maji kimepelekea wananchi kujikita na kilimo cha umwagiliaji. Na Victor Chigwada.Wananchi wa kijiji cha Mchito wametoa shukrani kwa wadau na wahisani…

15 Agosti 2024, 17:29

Serikali yatangaza rasmi uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa mwisho wa Serikali za Mitaa ulifanyika mwezi Novemba mwaka 2019, hivyo, uchaguzi mwingine unatakiwa kufanyika Novemba, 2024. Na Seleman Kodima.Serikali imetangaza kuwa terehe 27 Novemba mwaka huu uchaguzi wa serikali za mitaa utafanyika Tanzania Bara. Tangazo hilo limetolewa…

14 Agosti 2024, 18:42

Vijana watakiwa kuhakikisha wanapata elimu ya afya ya uzazi

Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana ina umuhimu mkubwa kwa jamii katika kujiletea ustawi wake. Na Witness Obeid.Vijana waliopo masomoni wametakiwa kuhakikisha wanapata elimu ya afya ya uzazi kutokana na wengi wao kupata mabadiliko wakiwa bado masomoni. Akizungumza na…

14 Agosti 2024, 18:10

Mazingira rafiki ya elimu yanavyosaidia kupunguza mimba za utotoni

Leo tumezungumza na Mwl Shaban Kijoji ,mratibu elimu kata ya Mbabala na katibu wa maafisa Elimu halmashauri ya jiji la Dodoma kuhusu suala hili na hapa anaanza kwa kuelezea sera inaelezaje kuhusu Mazingira Rafiki ya kupata elimu kwa Msichana ili…

14 Agosti 2024, 17:46

DC Kongwa: Simamieni lishe kuzuia utapiamlo

Fedha zilizopangwa kutumika katika kutekeleza afua za lishe ni shilingi 27,183,940.14 sawa na asilimia 91.83 ya fedha zilizotumika kwa ajili ya chakula shuleni na kutekeleza siku ya afya ya lishe vijijini ambapo vijiji 87 na mitaa 28 vilishiriki kikamilifu .…

14 Agosti 2024, 17:14

Wananchi watakiwa kuacha kujichukulia sheria mkononi

Jeshi la Polisi liendelee kutoa Elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa jamii kufuata misingi ya sheria. Na Seleman Kodima.Baadhi ya Wananchi wamesema kitendo cha kujichukulia sheria mkononi ni hatua mbaya hivyo wanaliomba jeshi la Polisi kuendelea kutoa Elimu kwa jamii…

14 Agosti 2024, 16:48

Wazazi wazua taharuki taarifa za kutekwa kwa mtoto

Dodoma TV Inaendelea kufatilia tukio hili kwa ukaribu ili kujua ukweli kuhusu madai ya Mtoto kutekwa na Watu wasiojulikana ambao kulingana na maelezo ya Watoto wenzake wanasema mwenzao aliitwa na Watu waliokuwa kwenye Gari na kumchukua kisha kuondoka nae. Na…

13 Agosti 2024, 16:36

Wawekezaji watakiwa kufanya tathmini ya athari kwa mazingira

Tathmini ya athari kwa mazinngira na jamii inajumuisha tathmini mbalimbali, kuanzia uchanganuzi wa bioanuwai na ubora wa maji hadi athari za matumizi ya ardhi na jamii ya wenyeji wa eneo husika. Na Mariam Kasawa.Wawekezaji wametakiwa kufanya tathmini ya athari kwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger