Dodoma FM
Dodoma FM
9 September 2024, 19:52
Na Nazael Mkude. Balozi wa Shina namba 10 anayejulikana kwa jina la John Mathayo Mkutani Mkazi wa Mtaa wa Miganga kata ya Mkonze jijini Dodoma amekutwa amejinyonga hadi kufa katika moja ya shamba la jirani na makazi yake mwishoni mwa…
9 September 2024, 19:52
Hali ya Mazingira Tanzania inatajwa kuwa mbaya huku Sheria kizani zikichangia. Na Mindi Joseph. Hali ya Mazingira Tanzania inatajwa kuwa mbaya huku Sheria kizani zikichangia. Tabia watu inasababishwa na shughuli za binadamu zisizo endelevu ikiwemo matumizi ya nishati chafu ufugaji…
9 September 2024, 19:51
Na Yusufu Hassan. Dhana ya kubemendwa kwa mtoto ambayo inayohusishwa na kuathiri makuzi ya mtoto, ambapo jamii huamini kuwa mtoto aliyebemendwa hupata kubemendwa changamoto kadhaa katika ukuaji wake. Jamii imefika mbali zaidi hata kuwakejeli watoto wanaodhaniwa kuwa wamebemendwa na kwa…
9 September 2024, 19:51
Na Mariam Kasawa. Bwn. Reuben Chacha mhandisi wa mazingira kutoka mkoani Iringa anasema kijana ni muathirika namba moja katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na shughuli wanazo fanya ambazo si rafiki kwa mazingira hivyo kupelekea mabadiliko ya tabianchi. Amesema kupitia vijana…
6 September 2024, 21:03
Mauaji ya kutisha Mkonze Watu wawili wa familia moja ambao ni mama na mtoto wameuawa usiku wa kuamkia leo na watu wasiofahamika kata ya Mkonze mtaa wùua Muungano Dodoma. Na Nazaeli Mkude Watu wawili wa familia moja ambao ni Mama…
6 September 2024, 21:03
Na Mindi Joseph . Wakazi wa Nala wataondokana na changamoto mbalimbali zinazowakabili kwa sasa kutokana na kukosekana kwa huduma thabiti ya maji safi. Wakieleza kwa nyakati tofauti, gharama zianazowakabili ni pamoja na gharama kubwa ya kupata huduma ya maji toka…
6 September 2024, 21:02
Elimu zaidi yahitajika dhana ya usawa wa kijinsia Na Mariam Kawasa. Yapo mambo mbalimbali yanayopelekea dhana ya usawa wa kijinsia isieleweke kwa jamii kutokana na uelewa hasi wa baadhi ya wananchi ambao kupitia matumizi mabaya ya dhana hii wamepelea vitendo…
6 September 2024, 21:02
Watu wanaotumia dawa bila maelekezo ya daktari wanatengeneza sumu inayoenda kuharibu ini pamoja na kusababisha figo kuchoka. Na Mourine Swai. Daktari Gaudence Mathew kutoka Decca Polyclinic amesemakuwa zipo athari za za kiafya zinazotokana na matumizi ya dawa bila ushauri wa…
5 September 2024, 20:03
Kikosi 826 KJ wakati wa kuhitimisha mafunzo ya kijeshi Wilayani Mpwapwa DC Mpwapwa atoa wito JKT kumlinda Rais dhidi ya uhalifu mtandoni Na Steven Noel. Mkuu wa Wilaya ya Mheshimiwa Sophia Kizigo amewataka Wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga…
5 September 2024, 20:02
Mbunge wa jimbo la bahi mh Kenneth Nolo mkoan Dodoma amehahidi kumaliza mgogoro wa ardhi unaowakabili wanachi wa kijij cha Zanka Mgogoro wa ardhi Zanka mbioni kutatuliwa Na Nazaeli Mkude Mbunge wa jimbo la Bahi Mhe, Kenneth Nolo Mkoan Dodoma…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-