Dodoma FM

Recent posts

11 September 2024, 19:36

Kupata wasaa na mtoto ni kinga dhidi ya ukatili

Baadhi ya wakazi wa Dodoma wamesema kuwa wazazi wengi hawatengi muda wa kuzungumza na watoto wao, jambo ambalo linawanyima nafasi ya watoto kueleza changamotozao kwa wazazi. Na Lilian Leopold. Mara kadhaa Serikali pamoja na wadau mbalimbali wa kupinga masuala ya…

10 September 2024, 19:22

DUWASA kutatua adha ya maji Ng’ong’ona

Na Mindi Joseph . Kukamilika kwa ujenzi wa matenki mawili ya maji yenye ujazo wa lita laki 5 katika mtaa wa Ng’ong’ona kata ya Ng’ong’ona Jijini Dodoma kutatatua adha ya maji kwa wananchi wa eneo hilo. Ujenzi wa matenki hayo…

10 September 2024, 19:22

Urejeshaji taka fursa mpya kwa vijana

Na Mariam Kasawa. Mahfoudh Haji ni makamu mwenyekiti wa taasisi ya Green Samia Foundation anasema taka ni fursa hasa kwa vijana lakini uelewa bado ni mdogo kwani wengi wanaamini waokota taka rejeshi ni watu duni hivyo kuidharau kazi hii. Kutokana…

10 September 2024, 19:21

Dhana ya kubemenda yastawisha heshima ya ndoa

Na Ysusuph Hassan. Dkt Matthew Gaudance kutoka Decca Polyclinic  amesema kuwa dhana ya kubemendwa kwa mtoto ni dhana inayolenga kudumisha uaminifu katika ndoa hivyo kuleta ustawi na kujenga jamii  bora yenye maadili. Aidha Dkt Matthew amewashauriwa wazazi na walezi kuzingatia…

10 September 2024, 19:21

Ijue historia ya kilimo cha mpunga Bahi

Na Yusuph Hassan. Bahi ni moja ya wilaya inayopatikana ndani ya mkoa wa Dodoma umbali wa kilomita  51 toka Dodoma Mjini. Wilaya hii ilijihusisha na kilimo cha mazao mchanganyiko kabla ya kuanza ulimaji wa zao la mpunga  mwaka 1983 kama…

9 September 2024, 19:52

Balozi wa shina afariki baada ya majaribio mawili ya kujiua 

Na Nazael Mkude. Balozi wa Shina namba 10  anayejulikana kwa jina la John Mathayo Mkutani Mkazi wa Mtaa wa Miganga kata ya Mkonze jijini Dodoma amekutwa amejinyonga hadi kufa katika moja ya shamba la jirani na makazi yake mwishoni mwa…

9 September 2024, 19:52

Tabiawatu ni chanzo cha uharibifu wa mazingira

Hali ya Mazingira Tanzania inatajwa kuwa mbaya huku Sheria kizani zikichangia. Na Mindi Joseph. Hali ya Mazingira Tanzania inatajwa kuwa mbaya huku Sheria kizani zikichangia. Tabia watu inasababishwa na shughuli za binadamu zisizo endelevu ikiwemo matumizi ya nishati chafu ufugaji…

9 September 2024, 19:51

Dhana ya Kubemenda ni Batili

Na Yusufu Hassan. Dhana ya kubemendwa kwa mtoto ambayo inayohusishwa na kuathiri makuzi ya mtoto, ambapo jamii huamini kuwa mtoto aliyebemendwa hupata kubemendwa changamoto kadhaa katika ukuaji wake. Jamii imefika mbali zaidi hata kuwakejeli watoto wanaodhaniwa kuwa wamebemendwa na kwa…

9 September 2024, 19:51

Green Samia kutoa elimu ya mazingira kwa vijana

Na Mariam Kasawa. Bwn. Reuben Chacha mhandisi wa mazingira kutoka mkoani Iringa anasema kijana ni muathirika namba moja katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na shughuli wanazo fanya ambazo si rafiki kwa mazingira hivyo kupelekea mabadiliko ya tabianchi. Amesema kupitia vijana…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger