Dodoma FM
Dodoma FM
12 November 2024, 10:23
Na Anwary Shabani. Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kujitokeza kuchangia damu ili kusaidia kuzuia magonjwa yasiyoamabukiza. Mratibu wa damu salama katika jiji la Dodoma Jerome Felician ameyasema hayo wakati wa kampeni ya uchangiaji damu inayojulikana kama “ Zuia Magonjwa Yasiyo…
12 November 2024, 10:22
Na Yusuph Hassan. Shule ya Sekondari Bihawana ni moja ya shule kongwe jijini Dodoma ilianzishwa nmamo mwaka 1961 katika mtaa wa Bihawana kata ya Mbabala, Wilaya ya Dodoma. Shule hii imekuwa ni moja ya shule ya mfano kutokana na ubora…
12 November 2024, 10:22
Na Leonard Mwacha Dunia inaadhimisha siku ya mtoto yatima huku ikilenga kuangazia mahitaji yao ya muhimu na makuzi yasiyo ya kibaguzi. Mwandishi wetu Leonard Mwacha amezungumza na mwanasaikolojia na mshauri nasihi Peter Njau, kuhusu namna bora ya kuishi na mtoto…
12 November 2024, 10:22
Na Mindi Joseph. Licha ya kuwa zipo katika hatari ya kupotea, mbegu za asili zimetajwa kuwa bora katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Afisa uwezeshaji kutoka katika Shirika la Pelamu Anna Malwa amesema mbegu za asili zina virutubisho vingi…
8 November 2024, 19:15
N Mindi Joseph. Ujenzi wa uzio katika shule ya sekondari kiwanja cha ndege Dodoma umetajwa kuwalinda wanafunzi dhidi ya utoro pamoja na changamoto mbalimbali. Mkuu wa shule hiyo Mwl. Daniel Mpagama anaelezea hali ya usalama hali ilivyokuwa kabla ya ujenzi…
8 November 2024, 19:15
Na Mariam Matundu Viongozi wa dini nchini wamekutana mkoani Dar es Salaam kujadili juhudi za taasisi zao katika kuleta maendeleo ya jamii na uchumi wa nchi, huku kauli mbiu ya mkutano huo ikiwa ”Dini mbalimbali sasa na baadae’. Mratibu wa…
8 November 2024, 19:15
Na Mindi Joseph Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma General imejipanga kupunguza adha inayoikabili jamii katika masuala ya Afya, kwa kuendelea kutoa Matibabu lishe kwa Watoto wenye utapiamlo mkali. Hii inayojumuisha chakula dawa na kuwaandalia sehemu ya michezo kwa…
8 November 2024, 19:14
Na Anwary Shabani Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kanda ya kati imedhibiti uhalifu wa mitandao kwa kiwango kikubwa kupitia Kampeni ya Ni Rahisi Sana. Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kanda ya kati Mhandisi Asajile John amesema kuwa kampeni…
7 November 2024, 17:55
Na Steven Noel. Serikali imeipatia gari RUWASA wilaya ya Mpwapwa ili kuongeza ufanisi katika kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maji. Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini RUWASA mkoa wa Dodoma Mwandisi Mbaraka Ally amezungumzia umuhimu wa chombo hicho cha usafiri…
7 November 2024, 17:55
Na Mariam Kasawa. Takribani tani 33, 000 za taka za kieletroniki huzalishwa nchini kwa mwaka na asilimia 3% tu ya taka hizo hukusanywa na kurejereshwa na kiwango kikubwa cha taka hubaki na kuzagaa katika mazingira. Bi Lilian Lukambuzi Mkurugenzi wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-