Dodoma FM

Recent posts

2 February 2021, 1:58 pm

Dkt.Gwajima:Wanaume vunjeni ukimya

Na,Seleman Kodima, Dodoma. Wahanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia wametakiwa kuacha kujificha bali kujitokeza na kutoa taarifa ili Vitendo hivyo viweze kudhibitiwa kwa haraka na kusaidia kukabiliana navyo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…

2 February 2021, 1:37 pm

Wizara yakabidhi mikataba minne kwa wakandarasi

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wizara ya mawasiliano na teknolojia ya habari hii leo imekabidhi mikataba minne kwa wakandarasi wa ujenzi , upanuzi na uunganishaji wa mkongo wa Taifa wa mawasiliano na miundombinu ya anwari za makazi na postikodi. Akizungumza na waandishi…

2 February 2021, 12:30 pm

Wananchi waaswa kutunza barabara

Na,Thadey Tesha, Dodoma. Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kutunza miundombinu ya barabara zinazoendelea kujengwa katika mitaa mbalimbali ili zidumu na kuwasaidia katika kujiletea maendeleo. Wito huo umetolewa na mratibu kutoka wakala wa barabara mijini na vijjini TARURA Mkoa wa Dodoma Bw.Lukaso…

2 February 2021, 8:25 am

Mbadala wa vifungashio visivyotakiwa kupatikana

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kufuatia tamko la Waziri wa nchi Ofisi ya makamu wa rais Muungano na mazingira Mh.Ummy Mwalimu la Januari 8 mwaka huu kutoa muda wa miezi 3 kuhakikisha vifungashio vinavyotumika kufungia bidhaa sokoni havitumiki , watendaji wameanza kutoa…

29 January 2021, 9:56 am

Vipigo kwa wanawake kukomeshwa ifikapo 2022

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imesema itaendelea kuhakikisha changamoto ya wanawake kufanyiwa ukatili kwa kupigwa inapungua kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2022. Taswira ya habari imezungumza na Monika Chisongela Mratibu wa Dawati la Jinsia Wilaya ya Bahi, ambapo amebainisha kuwa jumla…

29 January 2021, 9:28 am

Wananchi Matumbulu walilia kituo cha Polisi

Na,Victor Chigwada, Dodoma. Wananchi wa Kata za Matumbulu na Mpunguzi jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwajengea kituo kidogo cha Polisi ili kukabiliana na matukio mbalimbali ya kihalifu. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa katika Kata nzima wana askari…

25 January 2021, 8:59 am

Prof.Mkenda:Tunatilia mkazo uzalishaji mazao ya mafuta

Na,Alfred Bulaya, Dodoma. Serikali imesema inaweka nguvu kubwa katika uzalishaji wa mazao ya mafuta ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa mafuta inayotokea nchini na kupunguza kuagiza mafuta kutoka nje ya nchi. Mkazo huo unawekwa kwa kuzingatia kwamba ni asilimia…

20 January 2021, 1:57 pm

Wananchi Ihumwa walalamikia ubovu wa barabara

Na,Victor Chigwada, Dodoma. Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ihumwa jijini Dodoma wamelalamikia ubovu wa miundombi ya barabara uliotokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambapo zimesababisha kukatika kwa mawasiliano kutokana na magari kushindwa kufika kwenye kituo cha maegesho.Wakizungumza na taswira ya…

20 January 2021, 1:23 pm

Kambi za kitaaluma zachochea ufaulu Bahi

Na,Seleman Kodima, Dodoma. Uwepo wa kambi katika shule za msingi kwa madarasa ya Mitihani katika Kata ya Bahi Wilayani Bahi imetajwa kama sababu ya Ongezeko la Ufaulu wa Darasa la saba kwa mwaka huu.Hayo yamesemwa na Diwani wa kata hiyo…

19 January 2021, 2:29 pm

Kampeni ya uchunguzi wa macho CVT yaendelea

Na,Alfred Bulahya Dodoma. Kampeni ya kupima na kufanya uchunguzi wa macho katika hospitali ya macho ya CVT iliyopo Uzunguni Jijini Dodoma, imeendelea leo kwa kufanya upasuaji kwa wagonjwa 3 waliobainika kukutwa na tatizo la mtoto wa jicho.Hayo yanajiri ikiwa ni…