Dodoma FM

Recent posts

26 March 2021, 9:49 am

Ihumwa waomba kuboreshewa soko

Na; Shani Nicolaus.           Wafanyabiashara  katika Mtaa wa Ihumwa jijini Dododma wametoa wito wa kukarabatiwa soko lao ili waepukane na changamoto wanayokumbana nayo hasa msimu wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wafanyabiashara hao wameomba kutatuliwa adha hiyo mara baada ya kukamilika…

26 March 2021, 8:13 am

Uwajibikaji wa Vijana ni matunda ya kumuenzi Rais Magufuli

Na; Selemani Kodima Vijana Nchini wametakiwa kuendelea kuwajibika na kuonesha Uzalendo katika Majukumu yao ili kuenzi uzalendo ambao uliooneshwa na Hayati Rais Magufuli wakati wa Utawala wake. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi   Mtendaji wa  Taasisi ya maendeleo ya Vijana Dodoma DOYODO…

25 March 2021, 1:30 pm

Viongozi mbalimbali, wasanii Watoa heshima zao Mwisho

Na; Mariam Kasawa. viongozi, wasanii na maelfu ya wananchi wametoa heshima zao za mwisho kwa hayati Dkt. Magufuli kijijini chato mkoani geita Waziri mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na Makamu wapili wa Rais wa serikali…

24 March 2021, 1:14 pm

Wafanyabiashara Dodoma Wamshukuru Magufuli

Na; Shani  nicholous . Kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli bado wajasiriamali wadogo pamoja na wafanyabiashara mbalimbali wameendelea kumlilia na kumshukuru kwa kuwaboreshea mazingira yao ya biashara. Wakizungumza na Dodoma Fm wajasiriamali…

24 March 2021, 12:06 pm

Rais Magufuli aliutambua mchango wa wanawake katika uongozi

Na; Mariam Matundu. Viongozi wanawake jijini Dodoma wamesema watamkumbuka daima hayati Dkt.John Magufuli kwa kuwa aliwaamini wanawake na kuwapa nafasi mbali mbali za uongozi katika kipindi cha uongozi wake. Akizungumza na taswira ya habari mmoja wa madiwani wanawake Kata ya…

24 March 2021, 9:09 am

Rais Magufuli ameacha alama njema kwa Taifa la Tanzania

Na ;Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu, Sera,Bunge,ajira ,vijana na wenye ulemavu Bi. Jenista Mhagama amesema kamati iliyo pewa kazi ya  kufanya maandalizi yote ya mazishi imekamilisha maandalizi hayo na bado inaendelea kusimamia mambo mbalimbali. Bi. Mhagama ameyasema hayo…

24 March 2021, 6:21 am

Mwili Wa Hayati Dkt. John Magufuli wawasili Jijini Mwanza

Na; Mariam Kasawa. Wakazi  wa jiji la Mwanza na maeneo ya jirani  tayari  wamewasili katika uwanja wa CCM Kirumba  kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyefariki Dunia…

23 March 2021, 11:36 am

Bendera za UN kupepea nusu mlingoti

Na; Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa (UN) umesema Bendera ya Umoja huo itapepea nusu mlingoti katika Ofisi za Makao Makuu jijini New York Nchini Marekani.  Bendera hiyo itapepea Machi 26, 2021 ili kumuenzi Rais John Magufuli ambaye atazikwa siku hiyo…

23 March 2021, 10:24 am

Udugu na Umoja wadhihirika Zanzibar leo

Na; Mariam Kasawa Mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati  Dkt.John Magufuli utalala Ikulu Zanzibar leo Jumanne Machi 23, 2021 na kesho asubuhi utapelekwa Mkoani Mwanza. Hayo yameelezwa leo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokuwa kwenye uwanja wa Amaan Zanzibar…

23 March 2021, 6:34 am

Magufuli Alijenga Heshima ya Tanzania

Na; Mariam Kasawa. Imeelezwa kuwa, kufuatia Marekebisho yaliyofanywa katika Sheria ya Madini ambayo ni Matunda ya jitihada za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli yameifanya  Tanzania iheshimike kimataifa. Hayo yamebainishwa…