Dodoma FM

Recent posts

3 June 2024, 7:23 pm

Maonesho ya siku ya mazingira yazinduliwa Jijini Dodoma

Urejeshaji wa ardhi iliyo haribiwa na ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kutumia Bunifu na Teknolojia mbalimbali za utunzaji wa mazingira ili kunusuru mazingira. Maonesho ya siku ya mazingira ambayo kitaifa yanafanyika hapa Jijini Dodoma…

3 June 2024, 5:09 pm

Vijana waonywa wizi wa misalaba makaburi ya Chang’ombe

Makuburi ni mahala pa mapumziko ya milele kwa wafu na ni vyema jamii ikaacha tabia ya kuiba misalaba na mikanda ya vigae vya sakafu. Na Mindi Joseph.Wizi wa misalaba ya chuma katika Makuburi yaliyopo kata ya chang’ombe Jijini Dodoma umekithiri…

3 June 2024, 8:42 am

Mchakato wa uchaguzi wa NaCoNGO ngazi ya Mkoa kuanzia Leo June 3.

Uchaguzi huo unakuja kufuatia Baraza lililopo madarakani kumaliza muda wake wa miaka mitatu kikatiba ifikapo Juni 30, 2024. Na Mindi Joseph Kamati ya Mpito ya Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO) imetangaza mchakato wa uchaguzi wa wa…

28 May 2024, 6:26 pm

Serikali yaanza kuwachimbia visima wakulima wadogo Manchali

Pamoja na hayo Wizara ya kilimo itahakikisha inawasaidia Wakulima wadogo waliopo katika mradi huo kupima mashamba yao ili wapate hati. Na Mindi Joseph.Serikali imeanza utekelezaji wa mradi wa kuwachimbia visima wakulima wadogo katika kijiji cha manchali jijini Dodoma ili waweze…

28 May 2024, 5:45 pm

Nayu watakiwa kuwa tayari zoezi la urasimishaji ardhi

Kila mwananchi ambaye anamiliki ardhi atafikiwa na zoezi hilo hivyo ni muhimu kila mmoja kushiriki. Na Victor Chigwada.Wakazi wa kijiji cha Nayu wilayani Chamwino mkoani Dodoma wametakiwa kuwa tayari kwa ajili ya zoezi la urasimishaji ardhi na makazi ambalo linatarajia…

23 May 2024, 5:15 pm

Kilimo cha umwagiliaji mkombozi kwa wakazi wa Ntube

Bwawa Ntube ni bwawa ambalo limekuwepo katika mtaa huo kwa miaka mingi ambapo huhifadhi maji kwa mwaka mzima bila kukaua hivyo kuwa msaada kwa wakazi wa mtaa huo. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa mtaa wa Ntube kata ya Nkuhungu wameiomba serikali…

23 May 2024, 4:27 pm

Wakazi zaidi 14,000 waondokana na adha ya maji Ntyuka

Kata ya Ntyuka ina Mitaa mitano na wamenufaika na Visima 3 viliyochimbwa katika maeneo yao kwani viwili vinatoa maji na kimoja bado hakijaanza kutoa maji. Na Mindi Joseph.Wakazi zaidi ya Elfu 14,000 wa kata ya Ntyuka Jijini Dodoma Wameondokana adha…

23 May 2024, 3:59 pm

Jamii yatakiwa kuweka mazingira rafiki kwenye suala la hedhi salama

siku ya hedhi salama huadhimishwa kila mwaka Mei 28. Na Mariam Matundu.Waziri wa afya ameitaka jamii na wadau kuweka mazingira rafiki kwenye suala la hedhi salama ili mwanamke aweze kutimiza majukumu yake bila kikwazo. Waziri Ummy amesema hayo wakati akitoa…

22 May 2024, 9:10 am

Maonesho ya wiki ya viwanda na biashara yazinduliwa Dodoma

Wananchi wametakiwa kuwa na desturi ya kupenda kununua na kutumia bidhaa zinazozalishwa na viwanda Nchini ili kukuza viwanda hivyo na uchumi wa nchi . Na Mindi Joseph.Serikali imetoa wito kwa wadau wa sekta ya Viwanda na Biashara kuzingatia mambo matatu…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger