Dodoma FM

Recent posts

13 June 2024, 12:41 pm

Jamii yatakiwa kuwasilisha migogoro ya bima TIO

Ofisi ya Msuluhishi wa migogoro ya bima ni taasisisi inayojitegemea iliyoanzishwwa chini ya sheria ya bima Namba 10 YA MWAKA 2009 sura 394 na ilianza kufanya kazi mwaka 2015 baada ya msuluhishi kuteuliwa. Na Fred Cheti. Jamii imetakiwa kuwasilisha Migogoro…

13 June 2024, 10:48 am

Vijana wa miaka 13 hadi 17 kufanyiwa upimaji Mpwapwa

Shirika la ACTON FOR COMMUNITY CARE linatoa mafunzo kwa wakufunzi 32 kutoka kata 20 na vitongoji 25 za wilaya ya Mpwapwa. Na Mariam KasawaUpimaji wa stadi za maisha kwa vijana wenye umri wa miaka 13 hadi 17 unatajwa kusaidia vijana…

10 June 2024, 7:16 pm

Wabunge wapigwa msasa mfumo mpya wa ununuzi wa umma wa kielektroniki NEST

Ikumbukwe kuwa MAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) umeanzisha mfumo mpya wa manunuzi wa kielekroniki National e-Procurement System of Tanzania (NeST) utakaosaidia kudhibiti rushwa, mchakato wa zabuni kuchelewa na kuongeza uwazi wa zabuni . Na Seleman Kodima.Wito umetolewa…

10 June 2024, 7:04 pm

Nafasi ya jamii kwa wenye ulemavu kupata elimu bila vikwazo

Mwandishi wetu Selemani Kodima amezungumza na Mzazi huyo. Na Seleman Kodima.Pamoja na jitihada zinazofanywa kuhakikisha watoto wenye ulemavu wanapata elimu kama watoto wengine, bado jitihada hizo hazijazaa matunda. Kutokana uwepo vikwazo kwenye baadhi ya jamii ,leo tunakukutanisha na BABA ambaye…

10 June 2024, 6:53 pm

DUWASA yapiga marufuku matumizi ya maji taka

Serikali ya Awamu ya Sita imetenga shilingi Bilion 160 kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa mabwawa 16 ya kutibu maji taka katika kata ya Nzuguni na mradi huu utaanza kutekelezwa mwazi July 2024. Na Mindi Joseph.Mamlaka ya maji safi na…

6 June 2024, 6:42 pm

Njia salama za uzazi wa mpango-Makala

Tafiti zinaonesha kuwa wanawake wengi hawataki kupata ujauzito tena ndani ya mwaka mmoja baada ya kujifungua. Na Mwandishi wetu.Wakati kila mtu ana haki ya kufanya uamuzi wake kuhusu kutumia njia za uzazi wa mpango, si kila mtu anaweza kutumia haki…

4 June 2024, 5:55 pm

Wakazi wa Membe wapongeza ujenzi wa bwawa

Ujenzi wa bwawa hilo limefikia asilimia 82 ambapo hatua inayoendelea ni ujenzi wa mifereji ya maji Na Victor Chigwada.Wakazi wa Kata ya Membe Wilaya ya Chamwino wameipongeza serikali kwa juhudi zinazoendelea katika ujenzi wa bwawa la kilimo cha Umwagiliaji. Wakizungumza…

4 June 2024, 5:34 pm

Wizara ya Elimu kutumia matokeo ya utafiti wa HakiElimu

Utafiti huu utasadia katika kufanya maamuzi kuhusu upatikanaji wa elimu mijini katika eneo la Afika Mashariki. Na Mindi Joseph.Wizara ya Elimu imesema itahakikisha inatumia matokeo ya utafiti wa HakiElimu katika kuhakikisha kuwa upatikanaji wa elimu unakuwa sawa kwa makundi yote.…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger