Dodoma FM

Recent posts

21 Juni 2024, 17:58

Wafanyabiashara watakiwa kusajili majina na alama za biashara zao

Sheria inamuhitaji kila mfanya biashara ajirasimishe kwasababu ukirasimisha biashara yako unapata faida nyingi ikiwa pamoja na kupata tenda mbali mbali za serikali na sekta binafsi. Mindi Joseph.wajasiriamali na wafanyabiashara nchini wametakiwa kusajili na kurasimisha majina na alama za biashara ili…

20 Juni 2024, 13:01

Watumishi wa Umma wahimizwa matumizi ya TEHAMA

Maonesho haya yanalenga kutoa huduma kwa wananchi moja kwa moja na kwa urahisi zaidi na kupitia maonesho haya serikali inapata maoni kutoka kwa wadau na wananchi kwa urahisi zaidi. Na Mariam Kasawa.Watumishi wa umma wametakiwa kuwa wafuatiliaji wa teknolojia mbalimbali…

18 Juni 2024, 17:35

Serikali kuendelea kutambua mila na tamaduni za Kitanzania

Sherehe za utamaduni wa kabila la wagogo maarufu kama Tambiko hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuomba Baraka kwa Mwenyezi Mungu. Na Anselima Komba.Serikali imesema inatambua mila na tamaduni za kitanzania na itaendelea kuzienzi kwa kutambua mchango mkubwa unaotolewa kwa…

13 Juni 2024, 12:41

Jamii yatakiwa kuwasilisha migogoro ya bima TIO

Ofisi ya Msuluhishi wa migogoro ya bima ni taasisisi inayojitegemea iliyoanzishwwa chini ya sheria ya bima Namba 10 YA MWAKA 2009 sura 394 na ilianza kufanya kazi mwaka 2015 baada ya msuluhishi kuteuliwa. Na Fred Cheti. Jamii imetakiwa kuwasilisha Migogoro…

13 Juni 2024, 10:48

Vijana wa miaka 13 hadi 17 kufanyiwa upimaji Mpwapwa

Shirika la ACTON FOR COMMUNITY CARE linatoa mafunzo kwa wakufunzi 32 kutoka kata 20 na vitongoji 25 za wilaya ya Mpwapwa. Na Mariam KasawaUpimaji wa stadi za maisha kwa vijana wenye umri wa miaka 13 hadi 17 unatajwa kusaidia vijana…

10 Juni 2024, 19:16

Wabunge wapigwa msasa mfumo mpya wa ununuzi wa umma wa kielektroniki NEST

Ikumbukwe kuwa MAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) umeanzisha mfumo mpya wa manunuzi wa kielekroniki National e-Procurement System of Tanzania (NeST) utakaosaidia kudhibiti rushwa, mchakato wa zabuni kuchelewa na kuongeza uwazi wa zabuni . Na Seleman Kodima.Wito umetolewa…

10 Juni 2024, 19:04

Nafasi ya jamii kwa wenye ulemavu kupata elimu bila vikwazo

Mwandishi wetu Selemani Kodima amezungumza na Mzazi huyo. Na Seleman Kodima.Pamoja na jitihada zinazofanywa kuhakikisha watoto wenye ulemavu wanapata elimu kama watoto wengine, bado jitihada hizo hazijazaa matunda. Kutokana uwepo vikwazo kwenye baadhi ya jamii ,leo tunakukutanisha na BABA ambaye…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger