Dodoma FM

Recent posts

15 July 2024, 5:29 pm

Serikali kuchimba visima Igandu zaidi ya vitatu

Hata hivyo Serikali kupitia RUWASA bajeti ya 2023/2024 imepanga kujenga jumla ya miradi 1546. Na Victor Chigwada.Matumaini ya kupata huduma ya maji safi na salama yameanza kupata nuru kwa wananchi wa Kata ya Igandu baada Serikali kutenga fedha za kuchimba…

15 July 2024, 5:13 pm

Root&Shoot na wanafunzi waadhimisha maadhimisho ya Sokwe mtu

Maahimisho ya Sokwe mtu huadhimishwa kila july 14 Tanzania ikiwa ni moja ya nchi wanachama wa Umoja huo unao adhimisha maadhimisho hayo. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa sokwe mtu ni mnyama muhimu kwa Taifa letu kwani wamekuwa kivutio tosha kwa watalii…

8 July 2024, 4:37 pm

Rushwa ya ngono yapungua vyuo vikuu Dodoma

Mara nyingi rushwa ya ngono hufanyika baina ya watu wawili na endapo aliyetendewa atatoa taarifa TAKUKURU huchukua hatua. Na Mindi Joseph.Vitendo vya rushwa ya ngono katika vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma vimetajwa kupungua.Hayo yamebainisha na Mkuu wa Taasisi ya kuzuia…

8 July 2024, 4:23 pm

Wazazi watakiwa kuwapatia watoto haki ya kupata elimu

Sera ya elimu jumuishi imekuwa mkombozi kwa watoto wote kufurahia elimu pamoja. Na Mariam Kasawa.Wazazi wametakiwa kutambua kuwa haki ya kupata elimu ni yakila mtoto hivyo wanapaswa kuwaacha watoto wasome na kuwapatia mahitaji yote muhimu. Sera ya elimu jumuishi imekuwa…

2 July 2024, 5:52 pm

Umuhimu wa lishe kwa mtoto

Kwa mujibu wa utafiti wa afya ya uzazi na mtoto viashiria ya malaria Tazania mwaka 2025/16 hali ya lishe kwa watoto inaboreka tangu mwaka 1991/92 Nusu ya watoto walikuwa wamedumaa ukilinganisha na mwaka 2015/19 asilimia 34. Na Mindi Joseph.Kuboresha lishe…

2 July 2024, 5:34 pm

Wazazi watakiwa kuwapa elimu watoto wenye ulemavu

Mratibu wa Elimu Jumuishi Bi. Jane Mgidange kutoka shirika la FPCT amewataka wazazi na walezi kutambua kuwa watoto wenye ulemavu si mzigo bali ni zawadi kutoka kwa Mungu hivyo wanapaswa kuthaminiwa kama watoto wengine. Na Mariam Kasawa.Wazazi na walezi wametakiwa…

26 June 2024, 6:20 pm

EWURA yawaonya wauzaji holela wa mafuta

Aidha amesema kuwa , moja kati ya changamoto iliyopo ni ukosefu wa elimu kwa jamii kuhusu huduma zinazotolewa na Mamlaka hiyo. Na Mariam Kasawa.Mamalaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kati imeonya watu ambao wamekuwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger