Dodoma FM
Dodoma FM
10 Julai 2024, 17:08
Kamati ya kitaifa ya ushauri kuhusu utekelezaji wa programu ya kizazi chenye usawa ipo karika ziara ya siku nne ya kutembelea vikundi mbalimbali kwa Jiji la Dodoma, Dar-es-salaam na Unguja. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa Tanzania ndio Nchi inayofanya vizuri Barani…
8 Julai 2024, 17:32
Kwa mujibu wa sheria ya Ajira na Mahusiano ya Kazi ya mwaka 2004 inasema ni kosa kuajiri watoto kinyume na sheria ya kazi inavyosema na adhabu inatolewa chini ya kifungu cha 102 (2) ambacho kinampaHakimu wa Wilaya na Mkazi kutoa…
8 Julai 2024, 17:03
Leo tunaangazia kwa namna gani tunaweza kuwalinda wasichana wenye ulemavu kuepukana na Mimba za utotoni,Mwenzetu Selemani Kodima ametuandali taarifa ifuatayo. Na Seleman Kodima.Tatizo la mimba za utotoni limekuwa kubwa duniani na linaongezeka siku hadi siku hasa katika jamii ya uchumi…
8 Julai 2024, 16:37
Mara nyingi rushwa ya ngono hufanyika baina ya watu wawili na endapo aliyetendewa atatoa taarifa TAKUKURU huchukua hatua. Na Mindi Joseph.Vitendo vya rushwa ya ngono katika vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma vimetajwa kupungua.Hayo yamebainisha na Mkuu wa Taasisi ya kuzuia…
8 Julai 2024, 16:23
Sera ya elimu jumuishi imekuwa mkombozi kwa watoto wote kufurahia elimu pamoja. Na Mariam Kasawa.Wazazi wametakiwa kutambua kuwa haki ya kupata elimu ni yakila mtoto hivyo wanapaswa kuwaacha watoto wasome na kuwapatia mahitaji yote muhimu. Sera ya elimu jumuishi imekuwa…
2 Julai 2024, 17:52
Kwa mujibu wa utafiti wa afya ya uzazi na mtoto viashiria ya malaria Tazania mwaka 2025/16 hali ya lishe kwa watoto inaboreka tangu mwaka 1991/92 Nusu ya watoto walikuwa wamedumaa ukilinganisha na mwaka 2015/19 asilimia 34. Na Mindi Joseph.Kuboresha lishe…
2 Julai 2024, 17:34
Mratibu wa Elimu Jumuishi Bi. Jane Mgidange kutoka shirika la FPCT amewataka wazazi na walezi kutambua kuwa watoto wenye ulemavu si mzigo bali ni zawadi kutoka kwa Mungu hivyo wanapaswa kuthaminiwa kama watoto wengine. Na Mariam Kasawa.Wazazi na walezi wametakiwa…
26 Juni 2024, 18:20
Aidha amesema kuwa , moja kati ya changamoto iliyopo ni ukosefu wa elimu kwa jamii kuhusu huduma zinazotolewa na Mamlaka hiyo. Na Mariam Kasawa.Mamalaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kati imeonya watu ambao wamekuwa…
26 Juni 2024, 17:50
Sekta Binafsi nchini zimekuwa na mchango katika kuchangia ukuuaji wa uchumi wa Taifa. Na Mindi Joseph.Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali NaCoNGO limetakiwa kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia sheria ili kukidhi matarajio ya Jamii na Taifa. Waziri…
25 Juni 2024, 18:50
Kila mtu ana uhuru wa kujieleza bila kuvunja sheria za nchi kwa kufuata taratibu na kanuni za Nchi. Mindi Joseph.Uhuru wa kujieleza unatajwa kuwa ni haki ya kila mtu lakini watu wanapaswa kujielewa kwanza kabla ya kutumia uhuru huu bila…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-