Dodoma FM

Recent posts

17 Julai 2024, 17:33

Soko la Hamvu Chang’ombe kunufaisha kiuchumi wakazi 6000

Kata ya Chang’ombe ina wakazi wapatao elfu 39000 na hadi sasa ina soko moja tu linalotumika la Mavunde na kukamilika kwa ujenzi wa soko la Hamvu itaongeza idadi ya masoko mawili. Na Mindi Joseph.Kukamilika kwa Ujenzi wa soka la Hamvu…

17 Julai 2024, 16:59

Mkoa wa Dodoma unashika nafasi yapili vitendo vya ukatili wa kimwili

Hii ni kufuatia ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini uliyoangazia haki za kisiasa,kiuchumi na kijamii Tanzania bara na visiwani. Na Alfred Bulahya.Mkoa wa Dodoma umetajwa kushika nafasi ya pili kwa vitendo vya ukatili wa kimwili huku wanawake wakitaja…

17 Julai 2024, 16:42

Wilaya ya Bahi yafikia malengo ukusanyaji wa mazao ya chakula

Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu Nchini TANIPAC unalenga kupunguza uchafuzi wa sumukuvu katika mnyororo wa thamani wa mazao ya chakula hususani mahindi na karanga na kusaidia kuimarisha usalama wa chakula. Na Kadala Komba.Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma imefanikiwa kufikia…

17 Julai 2024, 16:15

Maonesho ya nanenane fursa kwa wafanyabiashara na wajasiriamali

Kitaifa Maonesho hayo ya wakulima nane nane yanatarajiwa kufanyika katika Mkoa wa Dodoma katika viwanja vya Nzuguni. Na Fred Cheti.Inaelezwa kuwa Maonesho ya wakulima Nane nane yamekuwa yakitoa fursa kubwa kwa wajasirimali na wafanyabiashara jijini hapa kutokana na Mkusanyiko mkubwa…

17 Julai 2024, 14:38

Jamii zatakiwa kutumia taasisi za kitafiti kujifunza

lengo la ziara hiyo ni kutekeleza Sera ya Elimu ya mwaka 2023 na kuwaongezea watoto ari ya kujifunza masomo ya amali. Na Steven Noel.Jamii imeshauriwa kuzitumia taasisi za kitafiti katika kujifunza na kujiongezea uelewa wa mambo mbalimbali yahusuyo maendeleo na…

15 Julai 2024, 17:58

Leo tunaangazia utoaji wa taarifa kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia

Amewataka wanafunzi hao kuepuka matendo maovu. Na; Mariam Matundu.kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Dodoma na Kamishina Msaidizi mwandamizi wa Polisi SAPC Theopista Mallya imeitaka jamii kukemea vitendo vya ukatili kwa kutoa taarifa ya vitendo hivyo katika jeshi la…

15 Julai 2024, 17:29

Serikali kuchimba visima Igandu zaidi ya vitatu

Hata hivyo Serikali kupitia RUWASA bajeti ya 2023/2024 imepanga kujenga jumla ya miradi 1546. Na Victor Chigwada.Matumaini ya kupata huduma ya maji safi na salama yameanza kupata nuru kwa wananchi wa Kata ya Igandu baada Serikali kutenga fedha za kuchimba…

15 Julai 2024, 17:13

Root&Shoot na wanafunzi waadhimisha maadhimisho ya Sokwe mtu

Maahimisho ya Sokwe mtu huadhimishwa kila july 14 Tanzania ikiwa ni moja ya nchi wanachama wa Umoja huo unao adhimisha maadhimisho hayo. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa sokwe mtu ni mnyama muhimu kwa Taifa letu kwani wamekuwa kivutio tosha kwa watalii…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger