Dodoma FM

Recent posts

24 Julai 2024, 15:57

Wanawake wanashindaje vikwazo na kuwania uongozi kisiasa?

Japo hivi sasa tunajikongoja licha bado juhudi zinahitajika ili usawa na sauti ya pamoja zisikike kwenye mabaraza ya Maamuzi kuanzia ngazi ya mtaa/kijiji hadi kitaifa. Na Seleman Kodima.Ifahamike kuwa ulimwenguni Katika nchi 193 wanachama wa Umoja wa MAtaifa, ni nchi…

23 Julai 2024, 16:04

Serikali yaombwa kuendelea kutoa elimu matumizi ya nishati safi

Umuhimu wa agenda  ya nishati safi unasukumwa na ongezeko la uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi pamoja na athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia. Na Mariam Kasawa. Wananchi wameiomba serikali iendelee kutoa elimu…

23 Julai 2024, 15:49

Wazazi watakiwa kuwahimiza watoto kusoma

Hatua mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa na viongozi wa kata ya Mkonze kuhakikisha watoto wanapofauli wanazingatia masomo. Na Mindi Joseph. Wazazi wametakiwa kujali misingi ya watoto kwa kuwahimiza kusoma na kuwalea katika mazingira ya kufanya vizuri katika taaluma. Hayo yamebainishwa na Diwani…

23 Julai 2024, 15:30

Barabara ya Pembamoto na Mlali kupandishwa hadhi

Ameahidi kuunganisha wilaya ya jirani ya Gairo kupanda hadhi kutoka kwa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) kwenda kwa wakala wa barabara Tanzania (TANROADS) ili kuunganisha mikoa. Na Bernadetha Mwakilabi, KongwaMbunge wa Jimbo la Kongwa Mh. Joab…

23 Julai 2024, 15:09

Kongwa yapongezwa utekelezaji wa miradi

Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa chumba 1 cha maabara katika shule ya sekondari Laikala ujenzi wa vyumba 6 vya madarasa na matundu 8 katika shule ya sekondari Ibwaga ujenzi wa barabara ya lami nyepesi ya kilomita 0.4 ununuzi…

22 Julai 2024, 19:05

Unawajibikaje kuhakikisha msichana aliyejifungua anarudi shule?

Mimba za utotoni ni pale mtoto wa kike wa kuanzia umri wa miaka 10 hadi 19 anapopata ujauzito na kujifungua. Na Mwandishi wetu. Katika kuchimba suala hili, leo tumefanya mahojiano na Meneja Utafiti  na Uchambuzi wa Sera kutoka taasisi ya …

22 Julai 2024, 18:54

Wananchi waaswa kuwakacha viongozi watoa rushwa kwenye uchaguzi

Rushwa ni chanzo cha kupatikana kwa viongozi wasio na maadili. Na Fred Cheti. Ikiwa Tanzania inatazamiwa kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani rushwa imekuwa ikitajwa kama moja ya kikwazo kinachangia kupatika kwa Viongozi wasio…

22 Julai 2024, 18:39

Ufahamu mtaa wa Bihawana jijini Dodoma

Yussuph Hassan ametembelea mtaa wa Bihawana na kuja na ripoti kamili. Na Yussuph Hassan.Bihawa ni kata ambayo inapatikana katika Jiji la Dodoma, licha ya umaarufu wa eneo hili kwa kilimo cha zabibu, pia ipo shule ya sekondari kongwe Bihawana ambayo…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger