Dodoma FM
Dodoma FM
1 Agosti 2024, 15:00
Na Mindi Joseph.Ufunguzi wa Barabara za ndani zenye urefu wa Mita 8, 10 na 15 katika Mtaa wa Miganga umetajwa kuwa nyezo muhimu ya kuwainua wakazi wa eneo hilo kiuchumi. Barabara hizi zinawasaidia wananchi katika usafiri na usafirishaji wa bidhaa…
31 Julai 2024, 19:30
Maonesho hayo huanza tarehe 01 hadi 08 ya mwezi Agosti. Maonesho hayo huambatana na uhamasishaji wa matumizi ya teknolojia bora za kilimo, ufugaji na uvuvi. Na Fred Cheti.Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Ufugaji (Nanenane) yanatarajia kuanza rasmi siku ya…
31 Julai 2024, 19:17
Kwa mujibu wa wataalam wa afya wanabainisha njia za maambukizi ya homa ya Ini zinashabihiana sana na zile za maambikizi ya Virusi Vya Ukimwi. Na Witness. Ikiwa kila ifikapo Julai 28 dunia huadhimisha Siku ya Homa ya Ini Duniani, takwimu…
31 Julai 2024, 18:52
Eneo hili la Miganga lipo mita 600 tu kutoka stesheni ya SGR, je, serikali haioni changamoto hii na kuwasaidia wananchi hawa ambao wanaona wametelekezwa?. Na Mindi Joseph. Wakazi mtaa wa Miganga wamelalamika kuathirika kiafya kutokana na adha ya vumbi inayosabishwa…
31 Julai 2024, 18:22
Wananchi wametakiwa kutii sheria bila shuruti kwa sababu sheria ndogo ya usafi katika Jiji la Dodoma inasema mtu asipojitokeza kwenye usafi, asipofanya usafi kwenye eneo lake la makazi, taasisi na biashara, faini yake ni kati ya shilingi 50,000-200,000 au kifungo…
31 Julai 2024, 17:48
Wataalamu wamekwisha kuwasili kwaajili ya kuanza maboresho mara moja. Na Yussuph Hassan.Na leo moja kwa moja katika kipindi chetu cha FAHARI YA DODOMA tumeangazia moja ya mtaa maarufu unaopatikana jijini Dodoma unaojulikana kwa jina la Swaswa ambao tumekwisha kuona asili…
30 Julai 2024, 19:46
Ikumbukwe kuwa tangu Treni ianze safari zake Kutoka Dar es Salaam kuja Dodoma zaidi ya wananchi 900 hadi 1000 wananufaika na usafiri huo. Na Fred Cheti. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajia kuzindua Rasmi…
30 Julai 2024, 19:24
Yussuph Hassani amezungumza na mwenyekiti wa mtaa huo juu ya mradi wa eneo hilo. Na Yussuph Hassan. Tupo mtaa wa Swaswa leo mwenyekiti wa mtaa huo Bw. Charles Nyuma anazungungumzia mradi wa mapumziko ambao unatarajiwa kujengwa katika eneo hilo.
30 Julai 2024, 19:04
CLARA MCHUNGUZI Afisa Miradi kutoka Shirika la Restless Development anaelezea zaidi. Na Mariam Matundu. Bado tunatuzunguza kuhusu uongozi wa serikali za mitaa na leo tunaangazia mitazamo hasi inavyowakwamisha wanawake kugombea nafasi hizo .
30 Julai 2024, 18:46
Mkuu wa Mkoa ametumia nafasi hiyo kuwaalika watu kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi kushuhudia upekee wa maonesho hayo. Na Seleman Kodima. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewahakikisha wakazi wa Dodoma kuwa maonesho ya Nanenane kitaifa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-