Dodoma FM
Dodoma FM
14 October 2024, 19:58
Na Mindi Joseph. Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limefanikiwa kumtia nguvuni mwalimu ambaye ni mtuhumiwa wa ubakaji na amefikishwa mahakamani kujibu tuhumu zinazomkabili. Tukio hilo la ubakaji limetokea katika kijiji cha Nhinhi kilichopo umbali wa Km 50 kutoka ndani ya…
14 October 2024, 19:57
Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana wachangamkie fursa zinazotokana na maendeleo ya teknolojia katika kujipatia kipato na kushiriki kukuza Uchumi wa Taifa . Amesema hayo Octoba 11 wakati wa uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa…
14 October 2024, 19:57
Na Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wametakiwa kuachana na ufugaji holela ambao umekuwa ukichangia kwa kiasi kikubwa kuangamiza miti inayo pandwa. Bwn. Innocent Makomba Afisa mazingira amesema hayo katika mahojiano maalum baada ya zoezi la upandaji miti katika shule ya…
14 October 2024, 19:56
Na Leonard Mwacha. Wilaya ya Bahi inatarajiwa kuongeza pato lake la ndani kutokana na ushuru wa vibanda vya biashara pamoja na ushuru wa bishara ndogo ndogo. Bwn. Jeremia Maximilian mjumbe ngazi ya ustawi wa jamii Bahi sokoni amesema eneo ambalo…
11 October 2024, 19:25
Mgawanyo sawa wa kazi za nyumbahi wahahitajika mtoto wa kike kufanikiwa kielimu Majukumu mengi ya kazi za nyumbani kwa mtoto wa kike imetajwa kuwa sababu inayorudisha nyuma maendeleo ya elimu. Afisa Miradi kutoka Action For community care Fatma Kibasa amesema…
11 October 2024, 19:25
Na Steven Noel. Wananchi Wilayani Mpwapwa wamehamasika kwa kiwango kikubwa kuitikia wito kujiandiksha daftari la mpiga kura. Akishiriki bonanza maalumu la uhamasishaji zoezi la uandikishaji daftari la mpiga kura, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt Sophia Mfaume Kizigo ameambatana na…
11 October 2024, 19:25
Wanafunzi zaidi ya 900 kutoka shule 10 za sekondari Mkoani Dodoma wameshiriki Mdahalo wa kuwajengea uwezo wa kupambana na Rushwa,matumizi ya dawa za Kulevya na kijikinga na Maambukizi ya VVU. Mdahalo huo umeandaliwa na Takukuru Mkoa kwa kushirikiana na Tume…
11 October 2024, 19:24
Wanyakazi wanatajwa kuwa hatarini kupata magonjwa ya afya ya akili kutokana na mazingira ya kazi au shughuli wanazofanya. Katibu Mkuu Msaidizi Chama Wataalamu wa Saikolojia (TAPA) Bwn. Albano Michael pamoja Mwenyekiti Kanda ya Kati Magharibi Bwn. Shabani Waziri wamebainisha hayo…
10 October 2024, 22:10
Dunia inaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike huku changamoto zinazomkwamisha mtoto wa kike kufikia ndoto zake hasa katika uongozi zikitafutiwa ufumbuzi kupitia kampeni ya ‘Msichana Shika Hatamu’. Na Hilali A. Ruhundwa Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanatekeleza jukumu la msingi…
10 October 2024, 19:01
Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inawaandaa wanafunzi kupambana dhidi ya dawa za kulevya. Akizungumza katika mdahalo uliowakutanisha wanafunzi na wadau wengine Oktoba 10…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-