Dodoma FM
Dodoma FM
4 November 2024, 19:34
Na Steven Noel. Bwn. Ismail Wabu kwa Afisa Afya wa Wilaya ya Mpwapwa anayeishi Mtaa wa Hazina Mkwatani Wilayani Mpwapwa yupo kitandani kwa zaidi ya miezi mitatu akiwa amepooza kutokana na kupigwa na wananchi akiwa katika majukumu yake ya kikazi.…
4 November 2024, 19:34
Na Mariam Kasawa. Wafanyabiashara wa soko jipya la Maputo Jijini Dodoma wameiomba serikali kuwaboreshea mazingira ya soko hilo. Wafanya biashara hao wamesema licha ya soko hilo kuboreshwa kwa kuwekwa maeneo vizuri tofauti na awali bado wanahitaji huduma ziboreshwe sokoni hapo…
4 November 2024, 19:34
Na Lilian Leopord. Hali za majeruhi 10 ambao wamenusurika katika ajali iliyotokea Novemba 3 katika Kata ya Makulu jijini Dodoma na kupatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma imeendelea kuimarika. Afisa Uhusiano na Mawasiliano katika hospitali ya…
1 November 2024, 19:11
Na Nazael Mkude. Sintofahamu imeibuka kwa wajumbe wa CCM wa mtaaa wa Matube Kata ya Nkuhungu jijini Dododma baada ya mgombea kutotangazwa jina lake baada ya mchakato wa kura za maoni kukamilika. Wajumbe wa CCM kutoka mtaa huo wamefika katika…
1 November 2024, 18:51
Na Mariam Kasawa. Serikali imejidhatiti kutatua changamoto zinazowakumba vijana balehe kwa kuweka mazingira salama na rafiki kwa vijana kupitia afua mbalimbali zinazowawezesha vijana kufikia malengo yao na utimilifu wao kwa ujumla. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera ,Bunge na Uratibu…
1 November 2024, 18:50
Na Fredi Cheti. Wananchi wengi wamekuwa hawana uelewa wa jinsi ya upatikana wa dawa mara wanapokuwa katika mchakato wa matibab. Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kongwa Dkt. Omari Nkulo anaelezea jinsi ya upaatikanaji wa dawa katika huduma za afya. Aidha…
1 November 2024, 18:50
Na Mindi Joseph Matumizi ya nishati ya umeme jua katika shughuli za Kilimo inatajwa kuwa Mkombozi kwa wakulima kutokana na kuokoa gharama mbalimbali pamoja na kuwezesha uzalishaji wenye tija kwa msimu mzima. Bwana Ngalya mkulima mkazi wa Kata cha Matungulu…
30 October 2024, 18:30
Na. Anselima Komba. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka vijana waliofikisha umri wa miaka 18 kujiandikisha ili kupata kitambulusho cha Taifa ili kukabiliana na fursa za kiuchumi . Afisa usajili Wilaya ya Bahi NIDA Bwn. Ombeni Ngowo ametoa wito…
30 October 2024, 18:29
Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa ni muhimu Jamii inatakiwa kufahamu na kuelewa utaratibu wa kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia ili kuwezesha kuripotiwa kwa kesi hizo na kufanyika ufuatiliaji. Akizungumza katika mdahalo wa kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na wasichana…
30 October 2024, 18:29
Na Fred Cheti Katika kuadhimisha Siku ya Lishe Duniani Halmashauri ya Jiji la Dodoma kupitia Idara ya Afya na Lishe Imetoa Elimu ya Upimaji wa Hali ya Lishe na Makundi ya Vyakula kwa wanafunzi na walimu wa shule ya Sekondari…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-