Dodoma FM

Recent posts

5 December 2020, 11:53 am

TAWOMA watakiwa kujenga masoko mapya ya madini

Na Alfred Bulahya, Dodoma. Serikali imekitaka Chama Cha wachimba Madini Wanawake Tanzania (TAWOMA) kuendelea na juhudi za kujenga masoko mapya ya Madini ili kuhamasisha upatikanaji wa soko la Madini hasa Yale yasiyo na thamani.Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dodoma na…

5 December 2020, 10:56 am

Apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuua

Na Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Railway katika Wilaya ya Dodoma HAMALA DALA(32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma kwa shitaka la kuua kwa kukusudia.Akisomewa shitaka lake mbele ya Hakimu wa Wilaya ya Dodoma PASCHAL MAYUMBA na mwendesha…

5 December 2020, 10:50 am

Vieira atimuliwa Nice

Nice, Ufaransa. Klabu ya Nice imemfuta kazi kiungo wa zamani wa Ufaransa na Arsenal, Patrick Vieira kama kocha wao Mkuu baada ya miaka miwili na nusu ndani ya Klabu hiyo ya Ligue 1.Klabu hiyo ya Ufaransa imepoteza michezo mitano mfululizo,…

4 December 2020, 10:33 am

Bozizé akosa sifa ya kuwania Urais C.A.R

Bangui, C.A.R. Mahakama ya Katiba imethibitisha uamuzi wa Tume huru ya uchaguzi nchini humo kuwa rais wa zamani wa nchi hiyo François Bozizé , hana nafasi ya kuwania urais katika uchaguzi wa Desemba 27 nchini humo. François Bozizé anashtumiwa kwa…

4 December 2020, 9:43 am

Gwiji wa Manchester United Gary Neville ailaumu FA

Manchester, England. Gwiji wa Manchester United Gary Neville ametoa wito kwa chama cha soka England FA kutoa mafunzo maalum kwa wachezaji wanaohamia kucheza katika klabu mbalimbali za ligi kuu ya primia huku akilaumu chama hicho kwa kutofanya hivyo. Kauli ya…

4 December 2020, 8:25 am

Dodoma Jiji Fc yajipanga kibabe kuwakabili KMC leo

Kocha Msaidizi wa Dodoma Jiji FC Renatus Shija amesema watatumia dirisha dogo la usajili kuboresha baadhi ya nafasi katika kikosi chao ambazo zimeonekana kupwaya. Shija ambaye timu yake itashuka dimbani hii leo kuvaana na KMC Fc katika dimba la Uhuru…

4 December 2020, 8:07 am

Barcelona hali tete kiuchumi

Barcelona, Hispania. Rais wa mpito wa klabu ya Barcelona Carlos Tusquets ameonya kuwa hali ya kifedha kwa sasa ni mbaya na inatia wasiwasi. Kiongozi huyo aliyechukua mahala pa Josep Maria Bartomeu aliyejiuzulu mwezi Oktoba amesema klabu inapaswa ingekuwa imemuuza Messi.…

3 December 2020, 3:31 pm

Afikishwa mahakamani kwa kukutwa na dawa za kulevya

Na,Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Mkalama ‘A’ jijini Dodoma ENOCK JOHN [24] leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma kwa shitaka la kukutwa na madawa ya kulevya.Akisomewa shitaka lake mbele ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma…

3 December 2020, 3:18 pm

Jamii yaaswa kuacha unyanyapaa kwa watu wenye ulemavu

Na Alfred Bulahya, Dodoma. Tume ya haki za binadamu na utawala bora (THBUB) imewataka wananchi kuachana na mila,desturi pamoja na mitazamo potofu ambayo huwafanya watu wenye ulemavu kuvunjika moyo na kujiona hawana mchango kwa jamii.Hayo yamebainishwa leo jijini Dodoma na…

3 December 2020, 2:56 pm

ANSAF:Asilimia 10 pekee ya vijana yajihusisha na kilimo nchini kati ya 65

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Sekta ya kilimo ,viwanda na miundombinu zimetajwa kuwa na ufanisi wa kutosha katika kuondoa umasikini na njaa ukilinganisha na sekta zingine za kiuchumi hapa nchini.Kauli hiyo imetolewa na waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda wakati akihutubia katika mkutano…