Dodoma FM
Dodoma FM
16 Novemba 2022, 12:19
Na; Eva Enock. Imeelezwa kuwa ukubwa wa riba pamoja na elimu juu ya matumizi sahihi ya fedha za mikopo ni miongoni mwa sababu zinazopelekea baadhi ya watu kushindwa kurejesha mikopo. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi jijini Dodoma wakati wakizungumza…
27 Oktoba 2022, 10:35
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya mawasiliano katika Kijiji Cha Gulwe imeendelea kuwaathiri wananchi kutokana na uhaba wa minara ya mitandao ya simu. Wananchi hao wa Gurwe wamesema kuwa wamekuwa wakipata wakati mgumu wanapo hitaji kufanya mawasiliano kwa njia ya simu…
27 Oktoba 2022, 10:21
Na; Benard Filbert. Wakulima wilaya ya Kongwa wamehimizwa kutumia teknolojia ya kisasa yakuvuna maji na kutunza udongo ili kufanya kilimo chenye tija. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo na mifugo wilaya ya Kongwa Bw. wakati akizungumza na taswira…
27 Oktoba 2022, 10:08
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa maandalizi ya uzinduzi wa matokeo ya mwanzo ya sensa ya watu na makazi yamefikia hatua nzuri hivyo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushuhudia matokeo hayo yakitangazwa. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary…
24 Oktoba 2022, 17:29
Content Woospin Casino is a shining example of adventure and possibility in a world where gambling is more than a hobby. Woospin Casino provides an exciting experience that might alter your destiny, regardless of whether you’re an experienced player or…
24 Oktoba 2022, 17:27
Content No doubt you’re familiar with Ozwin Casino if you’re an Aussie in search of exciting online casino activity. Players from Australia who are looking to win big often choose Ozwin Casino because of its thrilling games and tempting jackpots.…
24 Oktoba 2022, 17:20
Content Do you feel like you’re ready to level up your gaming? At Woo Casino, you can win every game with free spins and bonuses, so be ready for an amazing adventure full of possibilities and thrills. Woo Casino offers…
21 Oktoba 2022, 10:42
Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa Wahudumu wa afya katika zahanati ya Chunyu wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa changamoto inayowakabilia wananchi pindi waendapo kupata huduma nyakati za Usiku Akizungumza na Taswira ya habari Mwenyekiti wa Kijiji hicho Bw Abineli Masila amesema zahanati hiyo…
21 Oktoba 2022, 10:18
Na; Mariam Matundu. Kufuatia Rais Samia Suluhu Hassan kutoa msamaha wa riba ya kodi ya pango la ardhi uliotolewa kuanzia mwezi julai hadi Desemba mwaka huu ,wananchi jijini Dodoma wameoneshwa kufurahishwa na hatua hiyo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi…
21 Oktoba 2022, 09:57
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kijiji Cha Chenene wilaya ya Chamwino wameiomba serikali kuwafikishia huduma ya nishati ya umeme ili kusaidia uchumi wa kijiji hicho kukua zaidi. Hayo yamesemwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na taswira ya habari…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-