Dodoma FM

Recent posts

18 March 2021, 9:50 am

Watanzania waaswa kuendelea kuliombea Taifa

Na, Mariam Kasawa. Watanzania  wametakiwa kuendelea kumuomba Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu  ili kuliwezesha Taifa kusonga mbele. Hayo yamesemwa na mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo leo wakati akitoa salamu za pole…

18 March 2021, 7:51 am

Watanzania wamlilia Rais Dkt.Magufuli

Na, Mariam Kasawa. Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Rais Dr John Pombe Magufuli kilichotokea Machi 17 2021. Akithibitisha kifo hicho makamu wa rais Samia Suluhu amesema kwamba rais Magufuli alianza kuugua mnamo tarehe 6 mwezi Machi…

17 March 2021, 2:09 pm

Baadhi ya sekta kuokoka na marufuku ya vifungashio vya plastiki.

NA MARIAM MATUNDU Afisa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais Muungano na Mazingira Anamaria Gerome amesema kutokana na hilo baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu wametumia nafasi hiyo kutengeneza vifungashio vya plastiki  ambavyo vinatumika kama vibebeo. Amesema mchakato wa kutafuta…

17 March 2021, 1:47 pm

Jiji laboresha miundombinu ya maji

Na, Alfred Bulahya, Dodoma. Halmashauri ya jiji la Dodoma imetenga fedha kiasi cha shilingi bilioni 1 kwaajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya maji na barabara ndani ya jiji. Fedha hizo zimetengwa kupitia bajeti ya mwaka 2021/2022 wakati wa…

17 March 2021, 1:39 pm

Dodoma Jiji yaikabili Biashara

Na Matereka Junior Wakati ligi kuu bara ikiwa imesimama kupisha timu ya Taifa iliyopo Kenya kujiandaa na mechi za kufuzu mataifa Afrika, AFCON, Ligi ya timu za vijana wa chini ya miaka 20 za timu zote za ligi kuu inashika…

16 March 2021, 9:31 am

REPOA:Vijana elfu 60 wapata ajira kwenye sekta rasmi

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Inakadiriwa kuwa kila mwaka kati ya vijana elfu hamsini hadi elfu sitini ni miongoni mwa vijana milioni moja wanaoingia kwenye soko la ajira, na kubahatika kupata ajira kwenye sekta rasmi kwa mujibu wa utafiti wa taasisi ya…

9 March 2021, 12:56 pm

Idadi ya wanaume wanaopima VVU yaongezeka

Na, Yussuph Hans, – Dodoma. Imeelezwa kuwa kupitia mkakati wa Serikali wa kumtaka mama mjamzito kuambatana na mwenzi wake kliniki umesaidia kwa kiasi kikubwa kuwapima virusi vya ukimwi wanaume ambao awali,walikuwa wagumu kupima. Hayo yamebainishwa na mratibu wa Ukimwi kwenye…

9 March 2021, 9:14 am

Dodoma Jiji Fc wasaka rekodi

Na, Rabiamen Shoo, – Dodoma. Timu ya Dodoma Jiji Fc hii leo inatarajia kushuka katika dimba la Sokoine jijini Mbeya kuvaana na wenyeji wao Mbeya City Fc kwenye mechi ya ligi kuu soka Tanzania Bara. Dodoma jiji hivi karibuni imeibuka…

9 March 2021, 8:32 am

Zaidi ya trilion 1 zawekezwa sekta ya elimu nchini

Na, Yussuph Hans, Dodoma. Imeelezwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.291 zimewekezwa katika mpango wa elimu bure, ambapo matokeo yake yameonekana kwa kuongezeka kwa idadi kubwa ya wanafunzi Shuleni pamoja na Ufaulu. Hayo yamebainishwa na msemaji mkuu wa Serikali na…