Dodoma FM
Dodoma FM
1 September 2022, 14:19
Na; Benard Filbert. Licha ya awamu ya pili ya utoaji wa chanjo ya Polio kufanikiwa kwa asilimia 100 ,Jamii imeombwa kutoa ushirikiano katika zoezi hilo ambalo limeanza leo kwa awamu ya tatu. Rai hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa…
1 September 2022, 14:04
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema uwepo wa ongezeko kubwa la magonjwa yasiyo ya kuambukiza imechangia kuelemewa kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF). Kauli hiyo imekuja baada ya Kutokea kwa sitofahamu iliyoibuka hivi karibuni…
1 September 2022, 09:30
Na; Victor Chigwada. Umbali mrefu wanaotembea wanafunzi wa sekondari lenjulu mpaka pandambili umetajwa kuwa kikwazo cha kuwakatisha tamaa na kushindwa kumaliza masomo. Hilo limefahamika baada ya Taswira ya Habari kuzungumza na baadhi ya Wananchi ambapo Wamesema kuwa adha hiyo ya…
1 September 2022, 08:39
Na ;Benard Filbert . Wizara ya afya imesema kuwa imekuja na mpango wa taifa wakudhibiti magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele lengo likiwa kumezesha dawa za kinga tiba katika ngazi ya jamii. Hayo yanajiri kutokana na baadhi ya magonjwa kutokupewa kipaumbele licha…
10 August 2022, 14:33
Na; Victor Chigwada. Pamoja na faida za urasimishaji na upimaji wa ardhi nchini lakini zoezi hili limekuwa na changamoto kadhaa wa kadha kwa baadhi ya maeneo kutokana na uelewa mdogo wa wananchi Taswira ya habari imezungumza na Jane samsoni ambaye…
10 August 2022, 14:18
Na; Benard Filbert. Uongozi wa hifadhi ya pori la akiba Swagaswaga wilayani Chemba mkoani Dodoma amesema unaendelea kuboresha miundombinu ya hifadhi hiyo lengo kuandaa mazingira rafiki kwa watalii. Hayo yameelezwa na Donard Shija Mkuu wa Kitengo cha Ujirani mwema kutoka…
10 August 2022, 14:04
Na;Mindi Joseph . Shirika la Reli Tanzania limesema limejipanga kuhakikisha linaimarisha ulinzi na usalama wa mizigo ya abiria kwenye Treni kwa kudhibiti vitendo vya wizi vinavyofanyika. Hayo yamebainishwa na Mkurungezi Mkuu TRC Masanja Kadogosa kufuatia changamoto hiyo ambayo imekuwa ikijitokeza…
29 July 2022, 13:43
Na; Alfred Bulahya. Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania TACAIDS imeidhinishiwa na Bunge Shilingi Bilioni kumi na nne, milion mia tisa themanini na moja laki mbili na ishirini na nne, (14,981,224,000.00) kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika shughuli…
29 July 2022, 13:34
Na; Benard Filbert. Wazazi wametakiwa kushirikiana na kutoa taarifa pindi wanapoona vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto wao ili kuepusha athari wanazoweza kukutana nazo watoto hao. Hayo yanajiri kutokana na kukithiri kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii…
21 July 2022, 14:17
Na;Mindi Joseph. Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Katika Sherehe Za Mashujaa Ambayo Kitaifa Yatafanyika Jijini Dodoma. Akizungumza Katika Viwanja Vya Mashujaa Ambapo Sherehe Hizo Zitafanyika Mkuu Wa Mkoa Wa Dodoma Antony…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-